BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
That's nice huko ni kuwajali wazaziNitakua nimemjengea baba yangu nyumba
Plan nzuri sana wish all the best.Kipindi Cha miaka mitano ijayo nitakuwa na kiwanda kikubwa Cha kutengeneza juice.
Nitakuwa na restaurant kubwa Sana hapa hapa Chuganian[emoji3][emoji3]
Nitakuwa braza kaka ambaye nipo kisela Sana Yani huwezi jua Kama Nina hela[emoji3][emoji3]
Nitakuwa na dread ndefu Sana.
Nitakuwa mtu wa masafa Sana kuzunguka nchi mbali mbali kujionea uzuri wa dunia.
Hayo yote nitatimiza in the next five years.
Amini kwamba....[emoji123][emoji123]
Mungu abariki mipango yako ila swali la kizushi bado hujakutana na soulmate wako?1. Nitakuwa na chanzo cha uhakika cha mapato
2. Nitakuwa na familia hata ya kuunga na 'soltepu'
Bado mkuu unataka kunisaidia kutafuta?Mungu abariki mipango yako ila swali la kizushi bado hujakutana na soulmate wako?
Naomba nijiweke basi nimekufuatilia muda mrefu naona tuna mengi in common tunaweza kutengeneza perfect combinationBado mkuu unataka kunisaidia kutafuta?
Weee na mama Morgan yuko wapiNaomba nijiweke basi nimekufuatilia muda mrefu naona tuna mengi in common tunaweza kutengeneza perfect combination
Mama Morgan ni Fiction Character.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weee na mama Morgan yuko wapi
Aah wapi mnasemaga hivyo hivyo[emoji1787][emoji1787]Mama Morgan ni Fiction Character.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah wapi mnasemaga hivyo hivyo[emoji1787][emoji1787]