Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #221
jaribu igramna mimi nikipaka hayo mafuta yatanifaa kwel, maana nilipaka parachuti yakanikataa
ubarikiwe mpenzi, nitajaribu kufanya hivyojaribu igram
akupe igram ya kiume ya rangi ya blue. ogea na papaya soap .ila ule vizuri na unywe maji mengi .ngozi kuwa nzuri ni mlolongo wa mambo mengi sio mafuta tu
mkuu kwa sisi tusiohitaji UZUNGU hiyo moroccan whitening soap haitufaiVaseline healthy white UV lightening thats my favourate lotion everrrr
Sabuni natumia moroccan whitening soap
Me natoka navipele pia ngozi yangu haina mvuto nitumie mafuta ganiok sema vitu vya congo na ivory coast naviogopa sana bora products za south africa maana za ulaya na america ni feki tu
Me natoka navipele pia ngozi yangu haina mvuto nitumie mafuta gani