NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
pole
Natumia Sabuni yoyote nayoikuta bafuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumia Sabuni yoyote nayoikuta bafuni.
wee ni noma .sabuni unatengenezaje mkuu?nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
tufundishane namna ya kutengeneza mafuta ya nazi na sabuni za kuogea nyumbani wakuumafuta ya nazi huwa unayawekeaje hvo vikorobwezo dear? mimi nayatumia tu hivohivo
njoo kwangu jumapili uone navopika mi mvivu kuandika mambo marefu ila soma kuna sehemu huku tulielezatufundishane namna ya kutengeneza mafuta ya nazi na sabuni za kuogea nyumbani wakuu
kitu cha south kama hakijachakachuliwa ni mazuri kweli mkuu.unapaka deodorant gani?![]()
Haya ndo mafuta yangu miaka 10000
Hata Mimi nayakubali sana![]()
Haya ndo mafuta yangu miaka 10000
mchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?Natumia mafuta ya Mchai chai,olive oil au ya naz,sabuni sina complication yoyote ntakayoikuta kwenye kopo la kuogea kikubwa niwe nimejiridhishs tuu kuwsa ni salama! ila mafuta ya mchai chai ni kwere unakua mwororo mpaka unashangaa,alafu hakuna mbu anayekusogelea! pia hata mafuta ya nazi ni mazuri sana ni kweli yanalainisha sana,
hayako real,ukitaka mafuta real ya nazi kanunue kwenye maduka ya asili yenyewe yanakuwa mazito na meupe,ni kama cream fulani,aisee unakua mwororo hata chura wa majini hatii mguushukrani ngoja niitafute dear ,hivi haya mnafuta ya nazi yanauzwa madukani ni ya kweli ? maana mimi nikitumia nazi tano napata mafuta kichupa kimoja wanachouza 1500 huwa najiuliza au sijui kutengeneza?
kweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi etihayako real,ukitaka mafuta real ya nazi kanunue kwenye maduka ya asili yenyewe yanakuwa mazito na meupe,ni kama cream fulani,aisee unakua mwororo hata chura wa majini hatii mguu
yapo mkuu yanauzwa buku mbili tuu yanatoka zenj,yako poa sana,kwanza yanalainisha sana alafu ni moja ya mosquito repellent ya ukweli sana,pia yapo ya ndimu ingawa hayo sijawahi tumiamchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?
Hayo sio,mimi naendaga duka moja la asili,mpaka castro oil(mafuta ya nyonyo) unayapata yakiwa poa kabisa,na ukitaka kuamini kama yako natural,you can also drink them bila kuzurikakweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi eti
poa mkuu castrol oil inasafisha tumbo unaharisha kila zagazaga huwa nakunywa sana nikijiona sipo ok?Hayo sio,mimi naendaga duka moja la asili,mpaka castro oil(mafuta ya nyonyo) unayapata yakiwa poa kabisa,na ukitaka kuamini kama yako natural,you can also drink them bila kuzurika