Unajipaka mafuta gani mwilini?

Unajipaka mafuta gani mwilini?

nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
wee ni noma .sabuni unatengenezaje mkuu?
 
0a39f8d86802813c8e569d8babf0639a.jpg

Haya ndo mafuta yangu miaka 10000
 
Natumia mafuta ya Mchai chai,olive oil au ya naz,sabuni sina complication yoyote ntakayoikuta kwenye kopo la kuogea kikubwa niwe nimejiridhishs tuu kuwsa ni salama! ila mafuta ya mchai chai ni kwere unakua mwororo mpaka unashangaa,alafu hakuna mbu anayekusogelea! pia hata mafuta ya nazi ni mazuri sana ni kweli yanalainisha sana,
 
Natumia mafuta ya Mchai chai,olive oil au ya naz,sabuni sina complication yoyote ntakayoikuta kwenye kopo la kuogea kikubwa niwe nimejiridhishs tuu kuwsa ni salama! ila mafuta ya mchai chai ni kwere unakua mwororo mpaka unashangaa,alafu hakuna mbu anayekusogelea! pia hata mafuta ya nazi ni mazuri sana ni kweli yanalainisha sana,
mchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?
 
shukrani ngoja niitafute dear ,hivi haya mnafuta ya nazi yanauzwa madukani ni ya kweli ? maana mimi nikitumia nazi tano napata mafuta kichupa kimoja wanachouza 1500 huwa najiuliza au sijui kutengeneza?
hayako real,ukitaka mafuta real ya nazi kanunue kwenye maduka ya asili yenyewe yanakuwa mazito na meupe,ni kama cream fulani,aisee unakua mwororo hata chura wa majini hatii mguu
 
hayako real,ukitaka mafuta real ya nazi kanunue kwenye maduka ya asili yenyewe yanakuwa mazito na meupe,ni kama cream fulani,aisee unakua mwororo hata chura wa majini hatii mguu
kweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi eti
 
mchai chai unatoaje mafuta mkuu? majani au ?
yapo mkuu yanauzwa buku mbili tuu yanatoka zenj,yako poa sana,kwanza yanalainisha sana alafu ni moja ya mosquito repellent ya ukweli sana,pia yapo ya ndimu ingawa hayo sijawahi tumia
 
kweli mkuu haya ya dukani hata hayagandi eti
Hayo sio,mimi naendaga duka moja la asili,mpaka castro oil(mafuta ya nyonyo) unayapata yakiwa poa kabisa,na ukitaka kuamini kama yako natural,you can also drink them bila kuzurika
 
Hayo sio,mimi naendaga duka moja la asili,mpaka castro oil(mafuta ya nyonyo) unayapata yakiwa poa kabisa,na ukitaka kuamini kama yako natural,you can also drink them bila kuzurika
poa mkuu castrol oil inasafisha tumbo unaharisha kila zagazaga huwa nakunywa sana nikijiona sipo ok?
 
Back
Top Bottom