Flashfifty
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 226
- 565
Yea yeah you right..watu wanapigwa matukio ndoani kiasi cha kutaka kutoana roho…sema kuimba kupokezana mtu ukipigwa tukio na wewe piga tukio inaitwa mbwa kala mbwa[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna fala mmoja ana kazi nzuri haoi anatumia hoja dhaifu sana eti mbona walioa wanachepuka sasa kuna haja gani ya kuoa, na anapenda kitonga ya kutoka na wake za watu. Kuna mijitu Ina akili za kimbuzi sana, mpaka leo hana demu, mpenzi wala formal relationship yoyote open kazi ni kuvizia wake za watu tu.Kuna hili kundi la watu wanadai wame-oa wengine wameolewa , lakini wako na michipuko kibao Uzinzi , kibao , sasa mmeoa Nini?
Ni vituko tu huko Ndoani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari wamepoteza Nuru
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa wengi wao uchafu na kuleteana Umeme
Connection mkuuKuna kiumbe mmoja kafunga ndoa majuzi tu ila kwa kwa jinsi anavyopigwa unadhan hayuko kwenye ndoa
Kama Basi kumbe ndo maana,Mimi sijaoa so siwezi kuishi Maisha ya Maigizo
Baba J 😟Mtoa mada umesema hujao
Basi huna mamlaka ya kuyazungumzia ya waliooa/walio kwenye ndoa.
Vinginevyo Uzi wako ulipaswa kuuleta mfumo wa swali, ili uelekezwe vzur[emoji4]
Huyu hajawajua hawa viumbe kiundaniMtoa mada umesema hujao
Basi huna mamlaka ya kuyazungumzia ya waliooa/walio kwenye ndoa.
Vinginevyo Uzi wako ulipaswa kuuleta mfumo wa swali, ili uelekezwe vzur[emoji4]