Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunguru waliletwa huko zenji 1860s kudhibiti uchafu na mpaka leo
Ndiyo washasambaaa
Ova
Nliwazinguaga kunguru hyo vita vyao hawakusahau 😄Tuliowazoea wakwetu ni hawa wenye Baka jeupe kifuani nao wamekimbizwa na hawa washenzi wasiokuwa na adabu
Ilikuwaje mkuu😀Nliwazinguaga kunguru hyo vita vyao hawakusahau 😄
Ova
Popote wakikuona wanakushambulia 😄Ilikuwaje mkuu😀
Hahah ukizubaa wanaweza kukuuaPopote wakikuona wanakushambulia 😄
Wanakujalia juu wanakuzomea
Ova
Ile vita vyao ilichukua zaidi ya miaka 2....kila sehemu ukienda wakiwepo basi balaaaHahah ukizubaa wanaweza kukuua
Wamepotea hawapo tena HAOKunguru wa Zanzibar ndo hataree.!!