Kunguru waliletwa huko zenji 1860s kudhibiti uchafu na mpaka leo
Ndiyo washasambaaa
Ova
Nliwazinguaga kunguru hyo vita vyao hawakusahau πTuliowazoea wakwetu ni hawa wenye Baka jeupe kifuani nao wamekimbizwa na hawa washenzi wasiokuwa na adabu
Ilikuwaje mkuuπNliwazinguaga kunguru hyo vita vyao hawakusahau π
Ova
Popote wakikuona wanakushambulia πIlikuwaje mkuuπ
Hahah ukizubaa wanaweza kukuuaPopote wakikuona wanakushambulia π
Wanakujalia juu wanakuzomea
Ova
Ile vita vyao ilichukua zaidi ya miaka 2....kila sehemu ukienda wakiwepo basi balaaaHahah ukizubaa wanaweza kukuua
Wamepotea hawapo tena HAOKunguru wa Zanzibar ndo hataree.!!