Unajua kuwa gari lina mwisho wa kutumia?

😂😂😂😂😂 Tupa haraka sana, haifai hio mkuu!
 
!
!
Umeandika Nini Hapa Mkuu? Mimi Binafsi Sijaelewa Kabisa
 
Mkuu, sikuelewi umesimamia wapi, wewe unaunga mkono kila kitu.
Hahahahahah mi si CCM damu mkuu...jus kidding!
Jamaa ameongea fact bana.

Ukishindwa kuhudumia gari ndio mwisho wake maana linakutegemea kwa kila kitu.

Ni sawa na wewe ulazwe Ocean Road kwa kupumulia mashine, utakaposhindwa kulipia bills ndio parapanda yako itakapoliia.
 
Kuna Toyota Staut za miaka 80 bado zipo njiani
 
Uko sawa
 
Mkuu cheki hii VW Golf Gti imetembea km 857,000+ engine yake ni ya petroli 1.8L jamaa anasema hajabadili turbo, wala engine ni maintenance tu nzuri ya gari amei
 

Attachments

  • Screenshot_20200108-000025_Gallery.jpg
    128.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20200108-000029_Gallery.jpg
    101.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20200108-000020_Gallery.jpg
    57.5 KB · Views: 7
Kuna gari huku Ina miaka 123 inaitwa Santler bado inadunda


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…