Unajua kuwa kujua sheria ni lazima?

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
unaposomewa mashitaka yoyote ya jinai muheshimiwa atakwambia "huku ukijua kufanya hivyo ni kosa" ni kweli kutokujua sheria haikupi unafuu wa adhabu ila mwendesha mashitaka asiandae mashitaka yake kwa mazoea kisha aandike huku ukijua kufanya hivyo ni kosa naanza kuamini kuwa ni lazima kujua sheria....ili usikute unavunja sheria kwa kutokujua.......ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…