Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ni FlashBackSaturday kuelekea kwa pambano la DSM Derby siku ya Jumapili, Unajua kwanini Klabu ya Yanga wanaitwa Gongowazi na Ndala?
Majina haya kiasili yalianza kuvuma sana mwishoni mwa miaka ya Hamsini kwenye karne iliyopita sababu kuu moja.
Yanga SC hawakuwa wanacheza na jezi wala viatu, ni vibukta na pekupeku huku over 90% ya fans wao mwendo wa malapa.
Sasa yuko mhindi alikuwa na duka lake pale Independence Street (Samora Avenue) akiitwa Jeetu Kumar ambaye ndio mtu wa kwanza kuwanunulia Jezi, huku Klabu ya Sunderland (Simba) ikiwa na Jezi na Viatu.
Siku aliponunua akawaambia haifai timu kucheza 'Mgongo Wazi' bahati mbaya yule mhindi hakuweza kutamka vizuri, akasema Gongowazi.
Na neno Ndala ni kwa Washabiki wao ambao hadi leo kwa sehemu kubwa chini ni ile kitu ya kwendea msalani.
Majina haya kiasili yalianza kuvuma sana mwishoni mwa miaka ya Hamsini kwenye karne iliyopita sababu kuu moja.
Yanga SC hawakuwa wanacheza na jezi wala viatu, ni vibukta na pekupeku huku over 90% ya fans wao mwendo wa malapa.
Sasa yuko mhindi alikuwa na duka lake pale Independence Street (Samora Avenue) akiitwa Jeetu Kumar ambaye ndio mtu wa kwanza kuwanunulia Jezi, huku Klabu ya Sunderland (Simba) ikiwa na Jezi na Viatu.
Siku aliponunua akawaambia haifai timu kucheza 'Mgongo Wazi' bahati mbaya yule mhindi hakuweza kutamka vizuri, akasema Gongowazi.
Na neno Ndala ni kwa Washabiki wao ambao hadi leo kwa sehemu kubwa chini ni ile kitu ya kwendea msalani.