Unajua kwanini Klabu ya Yanga inaitwa Gongowazi na Ndala? Usikose ukaambiwa

Ubao utakaposomeka Simba 3-0 Yanga, Mashabiki wa Yanga watakimbia na kuacha mabenchi wazi!
 
Umeniwahi Mtani kaone kuna uzi nimekuquote kama ulichokiandika hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho tunatibua sherehe yako ya ushindi, Ili urudi ulipoishia msimu uliopita[emoji3][emoji119]
 
Kesho tunatibua sherehe yako ya ushindi, Ili urudi ulipoishia msimu uliopita[emoji3][emoji119]
Hahahaaa. Nasubiri nione Mtani.

Ila msije tafutana tu na musionane. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaaa. Nasubiri nione Mtani.

Ila msije tafutana tu na musionane. [emoji23][emoji23]
Hakuna siku ambayo nilikuonea huruma ile ulioenda Taifa mechi ya kimataifa ukafungwa. Nikikumbuka nitakuambia maana tulijulishana kabla

Aiseeee ulirudi umechoka sana kutokana kichapo

Na hali hiyo utaipata Kesho endapo utaenda..! SimbaNguvuMoja
 
Hakuna siku ambayo nilikuonea huruma ile ulioenda Taifa mechi ya kimataifa ukafungwa. Nikikumbuka nitakuambia maana tulijulisha kabla

Aiseeee ulirudi umechoka sana kutokana kichapo

Na hali hiyo utaipata Kesho endapo utaenda..! SimbaNguvuMoja
Hahahaaaa. Nyie ndio mlituanziaga gundu.

Ila kwa kesho maumivu yale siyatarajii kwa kweli zaidi ya furaha tena ile ya muda mrefu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Itakuwa majukumu mengi.

Pia najua kesho hawezi kosa kwenye uzi wa hiyo Mechi japokuwa anakujaga zile saa za magoli tu.

Da Shunie . [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Haa haa haa. Anapima kina cha maji kwanza halafu ndo anafanya uamuzi wa kuogelea
 
Mimi Yanga damu lakini si CCM
Dah...Kuna tofauti kubwa Sana...kati ya ushabiki na ufuasi...kwenye ushabiki mara nyingi hakuna sababu na huwa ni milele.....ila kwenye ufuasi utakuwa wa ajabu sana kama huna sababu....na utakuwa kioja kama ukijiapiza kuwa utakuwa mfuasi milele [emoji41]
 
Haa haa haa. Anapima kina cha maji kwanza halafu ndo anafanya uamuzi wa kuogelea
Hahahaaa. Hataki kukutwa na yale ya sembo na ile game na Mbao maana jf aliiona ndogo hii.

Ila Mtani ulikuwa mjanja. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukamuachia mwenyewe apambane na uzi wake badala umsaidie kujitetea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu, Yanga ilikuwa timu ya wananchi maskini wasio na uwezo kama ilivyokuwa kwa Watanganyika wengi wakati huo.

Kinyume chake, Sunderland ilikuwa ya Wahindi na Waarabu pamoja na wafanyakazi wao. Hiyo ndiyo historical background ya timu hizo. Haishangazi Sunderland kuwa ya kwanza kutumia viatu japo hilo halijazuia timu ya Wananchi kuwa mabingwa wa kihistoria nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…