Unajua kwanini Klabu ya Yanga inaitwa Gongowazi na Ndala? Usikose ukaambiwa

Mechi ya Kesho Hii Siimpi Simba Ushindii Kama Itashinda Itakuwa Kheri Lakini Sioni Ushindi Labda Drop

Nipo Mtaniii Wangu Zakwako
Bora unasema ukweli Mtani.

Za kwangu Alhamdulillah. Sijui kwako?
 
Naomba nijuzwe chanzo cha mikia kuitwa simba, sory simba kuitwa mikia
 
Mbona katika historia huandikwa Yanga ilianzishwa mwaka mnamo1935

Na Simba mwaka 1936 bila kujali kama hakuna klabu ya Simba kwa wakati huo ya watu weusi? Hii imekaaje?
Sunderland ilianzishwa lini na Simba ilianzishwa lini?
 
Ukipata jibu nipe Mwaka iliyoanzishwa TANU halafu nipe Mwaka CCM ilipozaliwa.
 
Sunderland ilianzishwa lini na Simba ilianzishwa lini?
Ni mwaka 1936 ni kama watu wengine kwenye jamii. Kuna jina la zamani la utoto na jina baada ya Jando.

Lakini ni mtu huyo huyo mmoja
 
S
Mbona katika historia huandikwa Yanga ilianzishwa mwaka mnamo1935

Na Simba mwaka 1936 bila kujali kama hakuna klabu ya Simba kwa wakati huo ya watu weusi? Hii imekaaje?
Simba imekuwepo tangia 1973 full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…