🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka sana hakyanani hahah
Cheka sana son, kufurahi na babaenu ni Jambo jema zaidi...😂😂Nimecheka sana hakyanani hahah
Kwenye kikao cha family kama huna pesa ukitaka kuchangia madaStress nyinge ni hii.View attachment 1653698
Miaka 30 na mtoto mtaani kwan sh ngapi😜Miaka 30 si mchezo!
Waswanu inakuvuruga sana baba mzaziCheka sana son, kufurahi na babaenu ni Jambo jema zaidi...😂
Kwahiyo bora hiyo kuliko 30 jela?Miaka 30 si mchezo!
Leo nipo na mamaako hapa malaika annex, huu mshangazi unamiliki difu ya kupandisha mlima sekenke....🤣🤣Waswanu inakuvuruga sana baba mzazi
Hahahah
Baba na vipi kuhusu yule mshangazi wa kizota?Leo nipo na mamaako hapa malaika annex, huu mshangazi unamiliki difu ya kupandisha mlima sekenke....🤣🤣
Cheers..🥃
Babaako nauheshimu sana msingi ulio kuzaa "mjegejo"....Baba na vipi kuhusu yule mshangazi wa kizota?
Anakuulizia? Haha
Hahahah na ukute hata hizo nywele nusu hunaHuyu anae anaongea nini??? Si akae kimya tu. Lione kwanza kichwa kama mkate na nywele zipo nusu kama lipumba, tena gube gube lililomshindwa mtume na maswahaba zake... Mxiiuuu
Hatari mkuu. Tena mashangazi ndio wenye mdomo balaa.
Hapana aisee! Kwanza mtoto atatesekaMiaka 30 na mtoto mtaani kwan sh ngapi😜
hapa ndo pale unakumbuka Shuka wakati kumekuchaaStress ni nini?
Stress ni pale unapotia mimba mwanafunzi,
Ubishi ni nini? Ni pale unapokataa kuwa mimba sio yako, Doctor anaamua kukufanyia vipimo.
Bahati ni nini?
Bahati ni pale doctor anapokwambia ujauzito sio wako sababu "HUNA UWEZO WA KUMPA UJAUZITO MWANAMKE"
KIFO ni nini ??
Kifo ni pale unapokumbuka home una mke na watoto watatu...!
Wanaume wengi tumebambikiziwa watoto tuamke.
Dr pancho