Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Stress ni nini?
Stress ni pale unapotia mimba mwanafunzi,
Ubishi ni nini? Ni pale unapokataa kuwa mimba sio yako, Doctor anaamua kukufanyia vipimo.
Bahati ni nini?
Bahati ni pale doctor anapokwambia ujauzito sio wako sababu "HUNA UWEZO WA KUMPA UJAUZITO MWANAMKE"
KIFO ni nini ??
Kifo ni pale unapokumbuka home una mke na watoto watatu...!
Wanaume wengi tumebambikiziwa watoto tuamke.
Dr pancho
Stress ni pale unapotia mimba mwanafunzi,
Ubishi ni nini? Ni pale unapokataa kuwa mimba sio yako, Doctor anaamua kukufanyia vipimo.
Bahati ni nini?
Bahati ni pale doctor anapokwambia ujauzito sio wako sababu "HUNA UWEZO WA KUMPA UJAUZITO MWANAMKE"
KIFO ni nini ??
Kifo ni pale unapokumbuka home una mke na watoto watatu...!
Wanaume wengi tumebambikiziwa watoto tuamke.
Dr pancho