Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili ni nywele kila mtu anazake
Ukitaka kujua kama una akili au hauna ... Anza kujiuliza , Je niliunga mkono serikali kupitia jeshi kununua korosho kama jibu ni ndio basi jua wewe ni KICHWA BOGA AKILI ULEZI....yaani wewe ni ndezi,bogus,poyoyo,ndinaKwa mfano watu wanamuamini Zito Kabwe kwamba Serikali na mfumo wake wote unataka kumuua ili hali yuko nchini na Bungeni anakwenda, kwa kawaida angeyasemea hayo akiwa nje ya nchi akiomba hifadhi, sasa wanaomuamini Zito Kabwe hawana akili wasiomuamini wana uwezo wa uhoji.
Hakuna siku maalum ya kunywa pombe. Kama ilivo kua hakuna siku maalum ya kupumzika.Na mm ninaye shushia safari ya baridi ilhali najua leo ni j3 ya mapambano ila nipo off kikazi naweza kujua kama iq yangu ipo oky
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks bro wengine ratiba zetu hazitabirik ila ndo kama leo nimepata siku ya mapunziko hazitabiriki hivyo unavyopat inabidi utumie kweliiiHakuna siku maalum ya kunywa pombe. Kama ilivo kua hakuna siku maalum ya kupumzika.
Huo ni utaratibu na ratiba zako za maisha na Wala sio ujinga.
Big up bro. Kula vyombo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatafuta asiye na akili kumbe upo hapa.Kwa mfano watu wanamuamini Zito Kabwe kwamba Serikali na mfumo wake wote unataka kumuua ili hali yuko nchini na Bungeni anakwenda, kwa kawaida angeyasemea hayo akiwa nje ya nchi akiomba hifadhi, sasa wanaomuamini Zito Kabwe hawana akili wasiomuamini wana uwezo wa uhoji.
Walio na vipara wana nusu akili.akili ni nywele kila mtu anazake
tamu mwenzagu vip?unabishana na hilo dude litakuumiza kichwa tu achana nalo.Wanatafuta asiye na akili kumbe upo hapa.