Ukitaka ujue kama una akili au huna ni pale utapoamua kuangalia maisha ya watu wa umri wako hasa mliosoma nao, wamejenga, wameoa, wamenunua magari, wana miradi ila wewe kazi yako kushinda jamiiforums kujisifia idadi ya mademu uliotembea nao na urefu wa m.b.o.o yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasio na akili zaidi ni wale wenye tabia ya kupinga hata mambo yaliyo dhahiriKwa mfano watu wanamuamini Zito Kabwe kwamba Serikali na mfumo wake wote unataka kumuua ili hali yuko nchini na Bungeni anakwenda, kwa kawaida angeyasemea hayo akiwa nje ya nchi akiomba hifadhi, sasa wanaomuamini Zito Kabwe hawana akili wasiomuamini wana uwezo wa kuhoji.
siyo lazima ziwe kichwani,kwani hawana nywele sehemu zingine za mwiliWalio na vipara wana nusu akili.
Ukitaka ujue kama una akili au huna ni pale utapoamua kuangalia maisha ya watu wa umri wako hasa mliosoma nao, wamejenga, wameoa, wamenunua magari, wana miradi ila wewe kazi yako kushinda jamiiforums kujisifia idadi ya mademu uliotembea nao na urefu wa m.b.o.o yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili kudindasiyo lazima ziwe kichwani,kwani hawana nywele sehemu zingine za mwili
Kipimo cha afya yako ya akili ni tunda la roho. Muda wote ukiwa na tunda la roho basi una afya njema.
Mleta mada ni ngumu kujitambua kama huna akili ila ni rahisi kumtambua asiye na akili. Mfano huyu jamaa.Kwa mfano watu wanamuamini Zito Kabwe kwamba Serikali na mfumo wake wote unataka kumuua ili hali yuko nchini na Bungeni anakwenda, kwa kawaida angeyasemea hayo akiwa nje ya nchi akiomba hifadhi, sasa wanaomuamini Zito Kabwe hawana akili wasiomuamini wana uwezo wa kuhoji.
Teh Teh TehEmbu waulize Kichwa Kichafu, Zero IQ, jingalao, KUBWA JINGA, na mjinga Mimi. Hawa wanaweza kuwa na majibu. Pia huyu minyoo na Asprin hapo kuna uhusiano Fulani, embu waje hapa tupate point.
Kuna mmoja yeye anaitwa Chizi Maarifa list ni ndefu Luna Magonjwa Mtambuka na Malaria Sugu
Kwa hiyo pesa inatafutwa bila akili?!Akili za nini tafuta ela halafu utanunua Akili unazotaka ukitaka akili za mwana sheria unanunua..
Pesa bahati nasibu aziitaji Akili hila ukizipata unawekeza kwenye Akili kama unafanya biashara ikakua una nunua Akili mfano muhandisi muhasibu n.k..Kwa hiyo pesa inatafutwa bila akili?!
HahaahUkitaka ujue kama una akili au huna ni pale utapoamua kuangalia maisha ya watu wa umri wako hasa mliosoma nao, wamejenga, wameoa, wamenunua magari, wana miradi ila wewe kazi yako kushinda jamiiforums kujisifia idadi ya mademu uliotembea nao na urefu wa m.b.o.o yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaUkitaka kujua kama una akili au hauna ... Anza kujiuliza , Je niliunga mkono serikali kupitia jeshi kununua korosho kama jibu ni ndio basi jua wewe ni KICHWA BOGA AKILI ULEZI....yaani wewe ni ndezi,bogus,poyoyo,ndina
Hahaha aise ..Dah hahaWee ukiona tuu unaamini amini kwamba biashara ya angani utaiweza wakati ya korosho tuu imekushinda, basi wewe tangulia zako Mirembe mdogo mdogo usisubiri kupelekwa.
Nmechek sanaKitendo cha kujua una akili nacho ni akili. Na kitendo cha kujua kuwa huna akili nacho ni akili. Mambo ni segemnege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app