Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wala usisumbue akili yako :siku yao huanza hivihivi hawa watoto wanajisikiaje wakiwa wanasoma tabia chafu za mama zao kwenye magazeti pendwa? coz sidhani kama class mates wao wanaweza ku hesitate making fun of them.
Hao wala usisumbue akili yako :siku yao huanza hivi
Mtoto: mama leo vipi mbona sikuoni katika media
mama: nawe! ndio kwanza asubuhi we subiri tu ,kuna timbwili nimelifanya jana ,mchana haukatizi utalisikia tu kipenzi changu!
Mtoto; Mi nakujua maza we sterling!
Hayo ndio mazungumzo yao!
binti huyo mkubwa wa majani anaitwa Patricia Peter Matthysse.....ni karembo sana.
Kumbe Patricia ndo huyu kweli kawa mdada nilikuwa namsikiaga Majani akiwataja binti zake enzi zile Patricia na Paula wa kajala.
Kanafaa kuliwa aisee
hivi hawa watoto wanajisikiaje wakiwa wanasoma tabia chafu za mama zao kwenye magazeti pendwa? coz sidhani kama class mates wao wanaweza ku hesitate making fun of them.
Kwahiyo jamaa kumbe kiwanda chake kinatoa jinsia pinzani tuu! Kweli mtenda hutendwaHow time flys, My baby girl has become a woman, ameandika P-Funk Majani aka Dream Big kwenye picha ya mwanae mkubwa wa kike (jina lake halijapatikana mara moja) aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram. Mhh! Nani alitegemea kama producer huyo wa Bongo Records angekuwa na mtoto mkubwa hivi? [TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]
Mtoto wa kike wa P-Funk Majani[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
P-Funk ana mtoto mwingine mkubwa wa kike aliyezaa na Kajala aitwaye, Paulette.[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Paulette akiwa na mama yake Kajala[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Usishangae P kusikia amekuwa babu soon!!
Mkuu acha majanga, ametenda nini mbaya wakati wenyewe ndio wanamkimbilia? Angedengua wangemletea maneno ya shombo anayo ambiwa Ommy Dimpoz, acha awapatie watoto tu kwani hiyo ni zawadi kubwa kuliko zote duniani.Kwahiyo jamaa kumbe kiwanda chake kinatoa jinsia pinzani tuu! Kweli mtenda hutendwa
Na watoto wote pfunk aliozaa na hao wanawake zake watoto wametoka point 5 kasoro paula tu..huyu mtt sijui...mana pfunk damu kali htrHuyo wa kajala mbona sio point 5!! Atakuwa kapigwa changa hapo majani,mbaya zaidi mtoto kafanana na Kajala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu Paula!!Kwahiyo jamaa kumbe kiwanda chake kinatoa jinsia pinzani tuu! Kweli mtenda hutendwa