legend Babushka
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 595
- 1,308
Wanajukwaa!
Ningependa tujadili ni namna gani iliyo bora na gharama nafuu ambayo inaweza kukabiliana na ukosefu wa umeme kwenye biashara.
Kama tunavyoshuhudia ni kuwa kuna kupoteza wateja na kutofikia malengo husika.
Karibuni!!
Ningependa tujadili ni namna gani iliyo bora na gharama nafuu ambayo inaweza kukabiliana na ukosefu wa umeme kwenye biashara.
Kama tunavyoshuhudia ni kuwa kuna kupoteza wateja na kutofikia malengo husika.
Karibuni!!