Unakabilianaje na kipindi hiki cha joto na jua kali?

Unakabilianaje na kipindi hiki cha joto na jua kali?

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
Habarini wakuu
Natumai kwema.

Dah! Joto limezidi ni hatari.
Inafikia mpaka unahisi ya harufu ya nyama choma kumbe ni wewe unachomwa jua!

Unakabiliana vipi kuhimili msimu huu wa joto.
Exception: Kwa wale mliopo sehemu zenye baridi na mvua.
 
Habarini wakuu
Natumai kwema.

Dah! Joto limezidi ni hatari.
Inafikia mpaka unahisi ya harufu ya nyama choma kumbe ni wewe unachomwa jua!

Unakabiliana vipi kuhimili msimu huu wa joto.
Exception: Kwa wale mliopo sehemu zenye baridi na mvua.
Kunywa maji mengu, kaa open space zenye miti, washa a.c au feni. Hakikisha unaoga hata 3 times ukiweza
 
Habarini wakuu
Natumai kwema.

Dah! Joto limezidi ni hatari.
Inafikia mpaka unahisi ya harufu ya nyama choma kumbe ni wewe unachomwa jua!

Unakabiliana vipi kuhimili msimu huu wa joto.
Exception: Kwa wale mliopo sehemu zenye baridi na mvua.
Hapa Dodoma ukikutana na mtu unaweza fikiri anatabasamu kukuona, Kumbe jua limemuwakia!Tunakaa kwenye vivuli vya midodomya.
 
Kwanza tumshukuru mama kwa kutuwezesha kupata joto kali hivi.

Kukaa sehemu yenye upepo, wapi na saa ngapi?
  • Shughuli za kubeba mizigo, zege, wiring, winga, jikoni etc
  • Nyumbani feni ipo, AC ipo, UMEME hamna; nafanyaje?

Nipende kumaliza kwa kumshukuru mama, mitano tena!
 
Hilo joto ni fursa unaweza kulitumia kufungua biashara ya nyama choma
1000024632.jpg
 
Back
Top Bottom