Unakabilianaje na kipindi hiki cha joto na jua kali?

Unakabilianaje na kipindi hiki cha joto na jua kali?

JOTO LA usiku ukifungua madirisha mbu wana shangilia kinoma,,, KUNA KA FENI KA ELFU 15000 nimekaona duka flan hivi nasikilizia kidogo kuna jamaa anaijia watoto wa nguruwe
 
Kwanza tumshukuru mama kwa kutuwezesha kupata joto kali hivi.

Kukaa sehemu yenye upepo, wapi na saa ngapi?
  • Shughuli za kubeba mizigo, zege, wiring, winga, jikoni etc
  • Nyumbani feni ipo, AC ipo, UMEME hamna; nafanyaje?

Nipende kumaliza kwa kumshukuru mama, mitano tena!
Duh!
 
Kama bongo joto hili lote je huko misri na majangwani
 
Back
Top Bottom