Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Labd digidigi nipandishe humoKwenye costa maana sina pesa nipo fokolo [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labd digidigi nipandishe humoKwenye costa maana sina pesa nipo fokolo [emoji23]
Eh! eh! eh!... ndugu mjumbe kutoboa 'ndogo' tena?Vijana wenzangu mnaooshi DSM na hamna ajira za uhakika mnachelewa kutoboa ndogo zenu, nendeni mikoani mashambani huko mtatoboa 100% guaranteed
Labd digidigi nipandishe humo
Uzuri hapa DSM kila biashara inalipa, hata makopo ya plastic yanauzika. Sema kinachotuponza wengi ni aibu tu[emoji3]Vijana wenzangu mnaooshi DSM na hamna ajira za uhakika mnachelewa kutoboa ndogo zenu, nendeni mikoani mashambani huko mtatoboa 100% guaranteed
Karibu Dar[emoji23][emoji23][emoji23] iyo ngeni kwangu
Typing error kk nilimaanisha "ndoto"Kwenye red hapo ufafanuzi tafadhali.....
Hellow time of joking
Unakaaje dar na hauli biliani ijumaa yaani unakula ugali na kisamvu why si uendw kibiti [emoji23]
Kama hiki hapa mimi nakimalizia hapatunao kula kitimoto na balimi za baridi unatuweka siku gani
Kama hiki hapa mimi nakimalizia hapa
Pixa mimi siipemdi kabisa hila bilian wew niacheBiriani ni overrated hamna kitu ni Kama watu wanavyosifia pizza kumbe upuuzi mtupu
Cha kufia niniSafi sana maisha ndiyo haya.
Kuna kidemu nipo nacho kazini juzi kimeniagizia kwa mudi mabiriani nkala kuku tu ile cha kushukuru nimepata kikontena cha kuwekea sukari kilichokuja na biriani kilePixa mimi siipemdi kabisa hila bilian wew niache
Wewe akili zako kama zangu au pachaKuna kidemu nipo nacho kazini juzi kimeniagizia kwa mudi mabiriani nkala kuku tu ile cha kushukuru nimepata kikontena cha kuwekea sukari kilichokuja na biriani kile
🤣🤣Wewe akili zako kama zangu au pacha
Itakuwa bodd