Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)

Chawa wa makamba yupo kazini achana naye.
 
Ukiambiwa uchague umeme wa kutosha ama sehemu ndogo ya pori, afu acha siasa, eneo linalojengwa ni dogo sana unasema kama dar nzma, Dar unaijua wewe????
 
Makamba na wanafiki wenzake jueni suala la strogiers gourge tunaliangalia kwa jivho tofauti na kwa makini.Kujichanganya kwao katika maelezo ya kukatika umeme wasidhani wataleta hayo kwenye suala la bwawa
 
mtu anayezuia kujenga hilo bwawa akisingizia sijui mazingira sijui nini huwa namshangaa sana. na huwa naamini hana akili timamu.
 
Umeandika nini bila kufanya tathimini ya Dunia
Amazon heka ngapi za msitu huteketea. Mataifa yaliyoendelea wanatoa hewa chafu kiwango kikubwa kuliko Nchi zetu.

Tanzania hata kwenye Mkataba Dunia ya mataifa makubwa yanayozalisha hewa Chafu atupo
Unaanza kumsifia Nepa Wa Gori la mkono
 
Dah....ona sasa unavyodharaulika

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo miti imeanza kukatwa leo na athari za mvua ndo zimeanza eehh!!

Sikiliza wewe fisadi mwenye mawazo ya mfalme jua,Hii ni nchi yetu woteee mwendazake alishaondoka,tutakula sahani Moja na nyinyi kuanzia humu mitandaoni na huko mtaani mnapokutana na mziki wa wananchi wasiomtaka huyo mama na genge lake,Kawaambieni hao watwana,sisi tutakula sahani moja nao mpaka waelewe
 
Wivu huu kwa HAYATI NI AIBU KUBWA SANA


ACHA WIVU
 
Chawa wa makamba na boss wao wanajifanya wajuawajiiiiiiii kumbe tunawachora tuu nakuwaona ni wachumia tumbo fulani, sasa mjichanganye kwenye hilo bwawa ndipo mtajua watanzania ni watu wa aina gani.
 
Nimemsikia nape nawoye jamaa anabweka sana bungeni sijui alinyimwa nini na jpm
 
mtu anayezuia kujenga hilo bwawa akisingizia sijui mazingira sijui nini huwa namshangaa sana. na huwa naamini hana akili timamu.
Nape nimemskiia kuwa ukubwa ni sawa na unguja au dar nzima
 
Mbona unataja cubic metre(m³) huu ni ujazo, halafu unasema ni sawa na eneo la dar nzima.. hapa unazungumzia eneo,square metre(m²)!??
 
Kama unaishi Dar au hutembei nchi hii utasema ni akili ndogo ila jua tu mamilioni ya hekta za misitu yanateketea kwa shughuli za kibinadamu (Mkaa, kilimo, ufugaji na makazi)
Baba Joseph mwenye miaka 17, swali langu la msingi liko pale pale.. Kwavile miti inakatwa kila kukicha kwa shughuli za kibinadamu ndo serikali ikaamua ku-top up kwa kukata miti zaidi?
Kuna mdau ameuliza sehemu, plan yenu kama serikali ni ipi ya at-least kupanda nusu ya miti mliyokata?
 
Yaani wewe na huyo ulio rejea kwa answered akili zenu sawa na za watoto wa vidudu
 
Vile MATAGA wanawahi kwenye uzi kuja kutetea legacy ya mwendakuzimu😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Acha upopoma na kuchuuzwa, shirikisha akili tafuta maarifa....
 
Aisee!
Kweli nchi hii tuna wavivu na vilaza wanaoendeshwa na upepo wowote ili mradi wajipe furaha ya dharura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…