Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)

Watu wa hovyo na mafisadi kupata kutokea nchi mmojawapo ni huyu nape!
 
Pimbi nyie
 
Angalia hii pimbi

Nyie takataka ndio mlikua mnaleta maumeme ya jenereta mtuibie sio??

Poleni
 
Huyu ametumwa na prof Muongo. Waziri Aliyekuwa hataki bwawa lijengwe sababu ya kupewa rushwa na kampuni za gesi
 
Sawa mkuu lakini hebu fikiri hayo matrilioni kama angeyaingiza kwenye umeme wa upepo au sola au jotoardhi na akaokoa hiyo miti si angekuwa shujaa zaidi?
chanzo bora cha uzalishaji wa umeme kati ya jua upepo maji nk kipi ni chanzo bora na ghalama rahisi kwa uzalisha
 

Ndio wala rushwa wengi maoni yao yapo hivi trump akiwanyoosha ni sawa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…