Unakufa kwa Mwarabu tarehe 16 Oktoba, 2022 na Unakufa vibaya kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022

Unakufa kwa Mwarabu tarehe 16 Oktoba, 2022 na Unakufa vibaya kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Anzeni sasa kujiandaa kulaumiana kwani leo kwa kujiamini kabisa GENTAMYCINE naandika hapa kuwa unafungwa Jumapili ya tarehe 16 Oktoba, 2022 huko nchini Sudan, lakini unaenda kufungwa vibaya Tanzania kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022.

Nikisema jambo hapa niamini 99.9%.
 
Anzeni sasa Kujiandaa Kulaumiana kwani leo kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE naandika hapa kuwa Unafungwa Jumapili ya tarehe 16 Oktoba, 2022 huko nchini Sudan lakini unaenda Kufungwa vibaya Tanzania kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022.

Nikisema Jambo hapa niamini 99.9%.
Tukuite nani baada ya kupata ushindi kwa mkapa
 
Tukuite nani baada ya kupata ushindi kwa mkapa
Mbona hujaanza kusema Uniite nani baada ya kupata Ushindi kwa Mwarabu Keshokutwa Jumapili?

Kumbe ni kweli kuwa 99% ya wana Yanga SC mmeshajua na mnakubali kuwa mmeshatolewa na Al Hilal FC ya Sudan na kwamba hiyo Jumapili mnaenda tu Kukamilisha Ratiba?

Poleni mno na kwa Kujiamini kabisa leo GENTAMYCINE nawaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Yanga SC anaenda Kufungwa na Simba SC Jumapili ijayo tarehe 23 Oktoba, 2022. Tunza na tunzeni hii post na thread yangu.
 
Anzeni sasa Kujiandaa Kulaumiana kwani leo kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE naandika hapa kuwa Unafungwa Jumapili ya tarehe 16 Oktoba, 2022 huko nchini Sudan lakini unaenda Kufungwa vibaya Tanzania kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022.

Nikisema Jambo hapa niamini 99.9%.
Labda mkaifunge Ngaya ya comoro sio yanga hii, nafikiri unajua timu bora Tanzania ni Yanga na timu yenye kikosi bora Tanzania pia ni Yanga kwaiyo tafuta jingine la kuongea au unajifurahisha tu
 
Akili unazo. Hiyo 0.1 kama kutatokea lolote inatosha.
 
Leo nakuunga mkono watapigwa kipigo ch mbwa koko trh 23, ..... yani najiamini kabisa Simba inaend kuwafunga hyo trh 23.
 
Back
Top Bottom