Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Kwani jamaa huwa ana udini?Safi sana mkuu ila mwambie aache udini kwenye mashairi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani jamaa huwa ana udini?Safi sana mkuu ila mwambie aache udini kwenye mashairi yake
Sana kuna mstari kwenye wimbo wa lawama anasema sema "siabudu msalaba na wala sili nguruwe, huwa anapenda Sana kutetea uislam na kuuponda ukristoKwani jamaa huwa ana udini?
Hahah lakini mbona haina noma sana mana kasema vile vitu ambavyo kweli hafanyiSana kuna mstari kwenye wimbo wa lawama anasema sema "siabudu msalaba na wala sili nguruwe, huwa anapenda Sana kutetea uislam na kuuponda ukristo
Akitokea rapa mkristo akasema"nakula nguruwe na simpigi shetani mawe lazima waislamu wangekasirikaHahah lakini mbona haina noma sana mana kasema vile vitu ambavyo kweli hafanyi
Inahitajika uwe na imani kubwa sana ili kukelwa na maneno kama hayo ila poa nimekuelewa bora kutosema kabisa ili kuepuka kero kama hiziAkitokea rapa mkristo akasema"nakula nguruwe na simpigi shetani mawe lazima waislamu wangekasirika
ExactlyInahitajika uwe na imani kubwa sana ili kukelwa na maneno kama hayo ila poa nimekuelewa bora kutosema kabisa ili kuepuka kero kama hizi
Pamoja ila usisahau jamaa ana ngoma ambayo ni latest kamshirikisha TammyExactly
Ngoja niichekPamoja ila usisahau jamaa ana ngoma ambayo ni latest kamshirikisha Tammy
PoaNgoja niichek
Nikweli mkuuKuna lile dundo lake moja asiekubali kushindwa kaongea vitu vingi sana mule.ukiachilia mbali mapungufu madogo madogo yakibinaadamu jamaa alijitahidi kusimama kwenye misingi ya kiaharakati.
Huo wimbo kuna kipindi nilikuwa nao kwenye pc, sema file nililosave nyimbo za zamani virus walikula, Belle aliimba bonge la chorus nadhani alikuwa anahofia kichapoKuhusu hiyo ngoma mpaka msisitizo nilimpa lakini kimya nahisi ata yeyey anakua hana....View attachment 758824
Mwenyewe nilikuaganao kwenye simu na niliupata mitandaoni tu sema sijui imekuaje tena haupatikani....Huo wimbo kuna kipindi nilikuwa nao kwenye pc, sema file nililosave nyimbo za zamani virus walikula, Belle aliimba bonge la chorus nadhani alikuwa anahofia kichapo
Kimtazamo naweza sema Bou Nako yupo vizuri zaidi ya Fido kwa sababu wana-train pamoja hapa kaloleni na watu wanawaona, bou ana mapigo fulani hivi ya hatari sana..bou mpangooooooBou na Fido nani yupo fiti
Ila nasikia fido ana mguu wa kukuKimtazamo naweza sema Bou Nako yupo vizuri zaidi ya Fido kwa sababu wana-train pamoja hapa kaloleni na watu wanawaona, bou ana mapigo fulani hivi ya hatari sana..bou mpangoooooo
nani mbabe wa kino now??Pina mtoto mdogo sana tulize Sisi wakongwe wa huko block enzi tangia kundi lililokuwa linaitwa Indiana polis kaka zake pina walikuwepo humo enzi Hizo hakuna kitu kinaitwa kikosi kwanza pina ni muoga wa askari sana sana alikuwa anawapiga watoto mgoba saba tu n'a kuwateka
Ova
Nmetoka Kino mudanani mbabe wa kino now??
Walitemeana tu maneno hawakupigana wala nini..Anayejua kilichotokea kati ya Pina na Dudubaya atupe story, maana kila mtu anazungumza lake. Nikimnukuu Dudubaya kwenye interview zake kadhaa anasema tangu azaliwe hajawahi kupigwa wala kupigana, yeye huwa anapiga tu
Hiyo ilikuwa inapigwa radio one tu...hahaa...ndio nyimbo ya kwanza namsikia belle 9 kabla hata ya masogange...ila bonge la nyimboKuna ngoma ya kikosi walimshirikisha Belle 9 inaitwa *maisha yangu nyimbo tosha* ilikua ni ngoma kali sana ila sikuwahi kusikia ikipigwa redioni labda kwasababu ya ukali wa maneno ya Pina