Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
-
- #101
Kumbe wa kishua ndo maana vurugu nyingiFido mtoto wa kishua
Hashim Dogo ana mishe gani???Sio kweli. Wasanii wengi wa Kikosi wengi sasa hivi wanafanya mishe zao ndani ya nchi na wengine nje ya nchi. Unamfahamu Gwalu? jamaa sasa hivi ameoa ana kazi yake,Mau Kolimba first lady wa Kikosi ana mishe zake anafanya,Kuna jamaa mmoja mrefu nimemsahau jina lake yeye sasa hivi kawa mjeda,kuna jamaa mwingine anaitwa tep y yupo A town anafanya mishe zake. Kalapinna himself sasa hivi anahost kipindi cha HARAKATI na mnaosema kaacha game mnapotosha yupo kwenye game isipokuwa sasa hivi amejikita kwenye issue hii ya drugs kwa sana tu. Msikariri kwamba ukiwa msanii unakuwa unafanya usanii tu kuna fursa zingine pia unaweza kufanya.
Radio ganiNyimbo ya Dira ilikaa namba moja ktk Bamiza kwa mwezi mzima nasema kwa mwezi mzima sikuwai...sijawai na sijui itatokea tena kwa nyimbo ya hipohop ngum kukaa kwa mwezi mzima ktk top radio steshen kama ilivyokuwa kipindi kile
Mkuu ata kipindi cha Bamiza hujui kilikua radio gani?Radio gani
Nikumbushe mkuuMkuu ata kipindi cha Bamiza hujui kilikua radio gani?
Ila inasemekana aliwahi kupimwa tezi dume na mr blue[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]Aliwahi tuma posa kwa Mr Blue, Aliwahi mteka Solo Thang
Salama aliwahi zinguliwaHivi hamna dj mfano kina mafuvu ambae alishapigwa na pina kwa kuto play ngoma zake?
Hivi record yake ulingoni ipojeKisa cha Pina kuachana na hizo tabia zake za kibabe na uhuni aliokuanao zamani ni askari ambae alikua anadeal na wale watu manunda mitaana, kama ni mtu wa kukaa maskani utakua unajua aina hii ya maaskari yaani anatimba maskani yeyote ile na mkibisha mnapigana na unaambulia kichapo tu.
Kwamfano sisi tunaokaa ukanda huu wa Ukonga pale kituo cha Sitaki Shari kuna jamaa Anaitwa Rando, huyu jamaa ni aina hiyo ya askari aliembadiri Pina kitabia..
Sasa yule askari alikua anamsumbua sana Pina na Pina mwenyewe anakiri kua ata angesema asimame na jamaa kutupa mikono basi asingemuweza maana jamaa alikua fit hatari na yeye hakutaka kumfikisha Pina mbali zaidi alimua kama anampa ushauri tu kua aachane na tabia anazozifanya....
Alimshauri kama anapenda ubabe na kupigana kwanini huko kupigana asikufanye mtaji yaani kumuingizie pesa kuliko kufanya kiharifu, basi ule ushauri aliuelewa sana ndio akajiingiza kwenye mchezo wa boxing. Kwa wale wapenzi wa huu mchezo basi mtakua mmeshamuona Pina majukaani mara kadhaa akizichapa....
kalapina ...Uwa azingui ...siku ile alipomjaza ngumi chid Benz ...sialikuwa anapiga show moja pale dar sijui ilikuwa ukumbi gani ..itakuwa ilikuwa dar live au maisha club ...sasa Chid alivamia show ya Pina akachukua maiki huku alikuwa amelewa balaa...akaanza kuimba..mambo ayaeleweki na matusi sasa pina alivyomwambia aludishe maiki Chid akagoma ...ndipo hapo alipochezea kichapo...heavy.
Ila sahv kalipina naona game kaliacha ..ameamuwa Kuhost kipind flan Clouds tv kinaitwa Alakati.
Lini hiyoAliwah Mpiga Baunsa wa Diamond
Mstari wa mbele na fasihi ndo ngoma zake kaliPina ugomvi ndio unamtambulisha kuliko mziki wake apo ndipo alipozingua
Sijawahi kufatilia record yake kwa ujumla ila hiyo picha hapo chini ilikua ni mwanzoni mwa mwaka 2014 alikua na pambano ila mpinzani wake alimimbia hakutokea ulingoni...Hivi record yake ulingoni ipoje
Hayo matango pori tu mkuu achananayoLini hiyo
Kuna ile *umoja ni nguvu* ni yake au ya kundi?Mstari wa mbele na fasihi ndo ngoma zake kali
Ilikuwa NomaSijawahi kufatilia record yake kwa ujumla ila hiyo picha hapo chini ilikua ni mwanzoni mwa mwaka 2014 alikua na pambano ila mpinzani wake alimimbia hakutokea ulingoni...
Pina aliomba Mic na kutangaza kutaka pambano na Jephet Kaseba na baada ya hapo alivua Groves akaanza kushusha michano kidogo...View attachment 752500View attachment 752512