Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Nilishawahi shusha uzi umu way back, kipindi hicho nipo apeche alolo ukinikung'uta natoa unga kama shuka la mashineni lkn wkt huo wife yupo kwenye pick.

Ktk kauli mbovu ambayo niliwahi kutamkiwa na wife ni " ningekuwa mwanaume ningekuoa mm" hii yote kwa sababu uchumi uliyumba.[emoji51]

Unajua nn now, mungu mkubwa ss nime bounce back nipo kampuni moja ya wazungu vidolali havichezi mbali mambo yapo super tena kushinda zamani[emoji123][emoji898][emoji483].

Wife alishafulia mambo yake yapo mrama lkn mm nimemsamehe na tupo pamoja heshima iliyopotea imerudi ss sijui kwa sababu nipo vizuri na yy kachapika lkn I don't care tupo tunatunza familia[emoji123][emoji123].
Hiyo sio heshima sasa. Sema uoga uliopotea umerudi tena. Mtu anayekudharau huwa hajifichi.
 
Mlitaka 50/50 halafu hamtaki kuchangia bills
Hata mimi sikubaliani na unyanyasaji kama ndio tunaozungumzia

Lakini kushare kipato chako(sio kulea mwamaume) hilo ni lazima ama sivyo utafanya mambo kuwa magumu
Mmmmmh una nini wewe hata kwenye vitabu vya dini vinasema jasho la mwanamke ni miliki yake, alichokitafta mwanamke ni chake .

lakini utafutaji mwanamme ni kwa familia, so huwezi ukamlazimisha mwanamke atoe chake ,ila anaweza akachangia kwa hiari yake.

Nimewasilisha.
 
Kuna binam yangu aliolewa last year... ndoa ya matashtiti. Haijafika mwaka imekufa. Mboga saba lkn nje drammars. Nadhan pia alikua na kauli mbaya kwa mumewe maana funancially mwanaume kwao wa kawaida zaidi na sana sana. Nadhan atakua alikua anamtishia kwetu hatunaga shida kama kawaida na hashuo za hapa na pale maana ndo kauli zake. Basi ndo hivyo mwanaume kaenda chumbia mwanamke mwingine na ujauzito juu[emoji23]
Ndio tatizo kubwa la wanawake wengi wa kiafrika walivyo. Wengi wao wakipata ahueni kidogo basi dharau kibao. Ukikulia na ukafundishwa kwenye maisha ya kuheshimu kila binadamu bila kujali hali yake etc hutakaa utoe matusi au lugha ya kejeli kwa yeyote yule. Huwa nash1ngaa mtu ambaye anatolea mpenzi wake maneno machafu, ukiona hivyo humendwi, wewe ni daraja tu au amekosa mbadala
 
Ndio tatizo kubwa la wanawake wengi wa kiafrika walivyo. Wengi wao wakipata ahueni kidogo basi dharau kibao. Ukikulia na ukafundishwa kwenye maisha ya kuheshimu kila binadamu bila kujali hali yake etc hutakaa utoe matusi au lugha ya kejeli kwa yeyote yule. Huwa nash1ngaa mtu ambaye anatolea mpenzi wake maneno machafu, ukiona hivyo humendwi, wewe ni daraja tu au amekosa mbadala
Kadiri tunavyokua aisee nimekubali busara ndo zinazidi. Yaaan kuna baadhi ya maneno tulizoea kuyatamka kwa wengine lakini sasa hivi unasema aisee maneno haya yalikua makaki sana na huwezi yarudia tena
 
Back
Top Bottom