Unakumbuka nini kuhusu CHADEMA katika hii miaka 30 tangu iasisiwe? Sitasahau nyomi la Lowassa pale Jangwani 2015

Unakumbuka nini kuhusu CHADEMA katika hii miaka 30 tangu iasisiwe? Sitasahau nyomi la Lowassa pale Jangwani 2015


Nawakumbuka kwa kitendo chao cha kumchafua huyu mzee wa watu kwa miaka saba (7). Wakizunguka huku na huku kwa kurudia na kurudia kwamba alikuwa fisadi.

Lakini cha kushangaza walimchagua kuwa mgombea wao bila bila hata ya soni kuhusiana na yale waliokuwa wakiwaaminisha watu kuhusu ubaya wa mtu huyu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
CDM chama bora cha siasa cha muda wote Tanzania, chama pekee hakijawahi nunulika na maccm, CDM ni chaguo la MUNGU.

Yule aliyepewa kugombea mwaka ule wa mafuriko alipata hiyo nafasi baada ya kufanya nini??
 
Katika umri wake wa miaka 30 Chadema imefanya mengi ya kulisaidia taifa lakini pia imekuwa kikwazo kwa baadhi ya mambo ya kimaendeleo nyakati zingine.

Je, unaipongeza Chadema kwa lipi?

Je, ungependa chama hiki kikuu cha upinzani kijirekebishe katika maeneo gani?

Je, unafikiri Chadema ni chama tawala mbadala baada ya CCM kufikia maturity stage sasa?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Pia chama ambacho uongozi wa juu lazima uwe wa watu wa kutoka eneo fulani la nchi. Kinyume cha hapo mtafaluku lazima utokee ndani ya chama.
 
Yule aliyepewa kugombea mwaka ule wa mafuriko alipata hiyo nafasi baada ya kufanya nini??
Hilo swali kamuulize February makatani,
Natepe mark Mwandosya Jr na yule msomali Mzee wa magufuli ni mshamba sana,
Watakupa majibu Nini kilitokea 2015 isingekua Tumeccm,TISSccm,Policcm & co Jiwe angerudi Chattle kuchunga mifugo na kutokana na ugumu wa Maisha ngo'mbe zote angemuuzia yule Masai aliyeleta mafuriko jangwani!
 
Hilo swali kamuulize February makatani,
Natepe mark Mwandosya Jr na yule msomali Mzee wa magufuli ni mshamba sana,
Watakupa majibu Nini kilitokea 2015 isingekua Tumeccm,TISSccm,Policcm & co Jiwe angerudi Chattle kuchunga mifugo na kutokana na ugumu wa Maisha ngo'mbe zote angemuuzia yule Masai aliyeleta mafuriko jangwani!

Wale hawajagi mjini kuuza sura. alikata za kutosha, ndiyo maana cdm wakampa usukani. 🤣 😂 🤣
 
Wale hawajagi mjini kuuza sura. alikata za kutosha, ndiyo maana cdm wakampa usukani. 🤣 😂 🤣
mpaka watoto wa mjini waliunguza lile deal wakafanya figisu la Karne washenzi wale Leo hii chama Cha kijani kingekua historia na Kwa laana waliyopata wale vijana yule bwana kumbe alikua chatu akaanza kuwameza na wao wakajuta kumbeba,
Halafu na hofu na wale watoto wa mjini isije kua ndio walisuka mikakati ya kumpeleka Kwa bwana Iblis bin shetan yule bwana maana mambo yaliwawia tyt kweli kweli huoni now wanavyotanua baada ya yule bwana kulazwa kando kando ya ziwa milele Amina?
Siasa mchezo mchafu!
😁😁😁
 
CCM ni maprofesa wa siasa za uchaguzi. Kuna kura za wahdzabe huwa chama kinajizolea bure kabisa. Matokeo ya uchaguzi yakitoka huwa ni kilio kwa CHADEMA
Tangu nizaliwe sijawahi kucheka kama Leo
Hahahahahahahahahahahhhhhh
 
Back
Top Bottom