LMFAO!!Mimi sikujua pa kuingiza, niliona matundu mawili, wakati bado nafikiria pa kuingiza basi yule dada akaniambia ingiza hapo kwenye nywelenywele wewe, acha ufala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LMFAO!!Mimi sikujua pa kuingiza, niliona matundu mawili, wakati bado nafikiria pa kuingiza basi yule dada akaniambia ingiza hapo kwenye nywelenywele wewe, acha ufala.
halafu wewe, nikikutajia utanipa dozi?Nini inauma? 😛😛😛
halafu wewe, nikikutajia utanipa dozi?
nikifunguka utakimbia BAKWala weye funguka tu, mie nasubiri hapa lol!
nikifunguka utakimbia BAK
pilau limeshuka sahvi ni mwendo wa kinywaji. ngoja niimalize hii chupa nitiririke. halafu mchoyo ww, hata kunialika kiuongo uongo jamani. au ulijua sibipiwi!!Funguka mie nasubiri kukusoma hapa. Najua ubwabwa/pilau ya Eid imeshatulia saa hizi.
pilau limeshuka sahvi ni mwendo wa kinywaji. ngoja niimalize hii chupa nitiririke. halafu mchoyo ww, hata kunialika kiuongo uongo jamani. au ulijua sibipiwi!!
khaaaa!!! ama kweli ukitaka kutafuta kiki waalike watu sikukuu halafu wapikie ugaliNilijua huwezi kuja mie Eid ugali na dagaa za kukaanga na mchicha wa nazi, ungetapika bureeeee...saa hizi niko safiiiiii.
khaaaa!!! ama kweli ukitaka kutafuta kiki waalike watu sikukuu halafu wapikie ugali
hahahahah!!! nakula ila sio sikukuu. lolHahahahaha lol! Ndiyo sababu sikukualika maana wewe na ugali hamna urafiki kabisa.
hahahahah!!! nakula ila sio sikukuu. lol
Damu hajaionaNaumia jaman hahaha ndo dushe inaingia
Ww ni she or heHeri yenu nyie mliopata raha mimi sikupata hata usingizi na roho iliniuma sana hadi nilitaka kulia namshukuru Mungu amani ilianza kuja taratibu ila sitaki rudia upumbambavu kama ule na pia sasahivi nimeoa asante YESU
Naumia jaman hahaha ndo dushe inaingia