Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
[emoji12] km ni siri mbn hujaogopa kusema hilo LA kudinda hapangoja nikujibu pm... we unataka kila mtu ajue siri jaman..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12] km ni siri mbn hujaogopa kusema hilo LA kudinda hapangoja nikujibu pm... we unataka kila mtu ajue siri jaman..!!!
Mkuu ndo ww uyo kwa avatar..[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Mm siku ya kwanza nilikuwa najua maana nilizoea kuangalia x
nani.. miss chagga ... leo kaniaga anaenda kwa yule kidume kingine.. si unajua mshahara kwangu haujaingia bado.. nafikiri jumatatu atarudi kwangu!!!!Haya bhana naniliu hajamboo???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji115] kwahyo unakla kwa zamu kazi kweli kwelii.... Sasa ukimiss vanilla inakuwaje??nani.. miss chagga ... leo kaniaga anaenda kwa yule kidume kingine.. si unajua mshahara kwangu haujaingia bado.. nafikiri jumatatu atarudi kwangu!!!!
Ndio zishafunguliwa mkuuShule zishafunguliwa?
si nakuchek wewe japo unanipotezeaga...!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji115] kwahyo unakla kwa zamu kazi kweli kwelii.... Sasa ukimiss vanilla inakuwaje??
Sasa nifanyaje jmn Siku Huyo dadaangu akija na mm nikae benjiisi nakuchek wewe japo unanipotezeaga...!!!
utakubali...!!!!Niulizee
Hiyo 18- na 18+ ndio nn mkuu
X ndio nn mkuu
Stop acting mkuuHabari zenu wadau wa JF.
Hebu funguka hapa siku ya Kwanza kufanya Mapenzi (KwichiKwichi) ilikuwaje na ulijisikiaje. Maana naambiwa kuna raha ya ajabu sana mm bado sija KwichiKwichi.
Yahutakubali...!!!!
Sio kwamba nina act mkuu ukwel tena sifaham kabisa. Hebu nijulishe vikoje hivyo vitu mkuuStop acting mkuu
Wewe kila kitu hujui?
nilitaka kukuambia.. kesho niibie peni dukani kwenu..!!!!