Unakumbuka nini siku yako ya kwanza kujiunga JamiiForums (JF)

Unakumbuka nini siku yako ya kwanza kujiunga JamiiForums (JF)

NYEKUNDU YA BIBI

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
2,301
Reaction score
2,977
...tukutane hapa ....!!
Mimi ninachokumbuka nilifanya ujinga flani nilimkosea mzigua nikapigwa ban moja makini sana ,

Sikuzijua vyema taratibu za humu na mchecheto wakipumbavu kidogo ko nikaangukia pua Kwa ban moja safi sana nikabaki nashangaa mbona siwezi kuaccess chochote jamii forum

Kumbe ndo ban yenyewe Mimi hata sikuijua hio ban inakua katika muundo upi Ila shukrani sana niliijua kupitia huo mtindo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie mpka leo hata sijui niliingiaje Jf!
Nilishangaa nimejikuta tu huku yaani hata sielewi chochote!
Huku mie sipawezi yaani kumejaa wasomi kama tuko chuo kikuu!
Afu matajiri kibao kama tuko New York City!?
Ukija kwa warembo sasa hao Miss World waende Veta!
Guys msaada jamani mie nataka kutoka humu wajameni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie mpka leo hata sijui niliingiaje Jf!
Nilishangaa nimejikuta tu huku yaani hata sielewi chochote!
Huku mie sipawezi yaani kumejaa wasomi kama tuko chuo kikuu!
Afu matajiri kibao kama tuko New York City!?
Ukija kwa warembo sasa hao Miss World waende Veta!
Guys msaada jamani mie nataka kutoka humu wajameni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdomo bakuli Dah ilikuaje ukajiita Ivo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom