Hapo Hukunitendea Haki Kwa Kuto Kuwataja Watu Wawili Muhimu Sana... Edibili Johnus Lunyamila na Edward Salvatory...
Sijui nini kilimkuta kategile nadhani ulabu ila huyu alikuwa winga khatari sana ya kushoto product ya biashara shinyanga hiyo yeye na mwinyimvua komba (masolwa )Ahmed abbas Michael Paul (nylon )abdalah magubika (zagada )edibily lunyamila dhikiri mchumila aly ngaoneka Paul John Masanja hizi zote products za biashara shinyanga.Tusimsahau Alfred Kategile, Damian Mrisho Kimti hahah
Sijui nini kilimkuta kategile nadhani ulabu ila huyu alikuwa winga khatari sana ya kushoto product ya biashara shinyanga hiyo yeye na mwinyimvua komba (masolwa )Ahmed abbas Michael Paul (nylon )abdalah magubika (zagada )edibily lunyamila dhikiri mchumila aly ngaoneka Paul John Masanja hizi zote products za biashara shinyanga.
Wale sio wa kuwa kumbuka kabisa chozi linaweza kukutoka umahiri wao leo nani mpaka mahadhi na dilunga timu ya afrika haikuwa mchezo.Leo kizazi cha kina mohamed salim yahya tostao mwinyimkuu njohole thuweni kiswabi mwinda ramadhani (maajabu )elius Michael George kulagwa huwezi kuwafananisha uwezo wao na hawa wetu wa leo.Mie nikiwakumbuka kina Mahadhi bin Jabeer na Kina Sunday Manara naishia kusema Al hamdulillah Kama hatukufanikiwa kipindi kile kimpira basi Mafanikio yatashuhudiwa na Kizazi kingine sio chetu
Wale sio wa kuwa kumbuka kabisa chozi linaweza kukutoka umahiri wao leo nani mpaka mahadhi na dilunga timu ya afrika haikuwa mchezo.Leo kizazi cha kina mohamed salim yahya tostao mwinyimkuu njohole thuweni kiswabi mwinda ramadhani (maajabu )elius Michael George kulagwa huwezi kuwafananisha uwezo wao na hawa wetu wa leo.
It was 1991 Uwanja wa Aman Zanzibar Kombe la Africa Mashariki imefika wakat wa Mikwaju ya Penalt Pambano limechezwa Usiku Penalt ya Mwisho anaenda kupiga Beki wa Yanga David Mwakalebela anapaisha na Simba inatwaa Ubingwa! Aiseee tulijikuta Washabiki wa Simba damu tumefurika Msimbazi kuanzia saa 6 usku mpaka Alfajiri bila ya kutarajia
Marehemu selestini sikinde mbunga, Deo Njohole, makumbi Juma, sanifu Lazaro Tingisha, zamoyoni Mogera, Abeid Mziba, Abubakari Salumu (sure boy)
Hawa kina Lunyamila walikuja baada ya kina Sanifu kuondoka
Mwinyimkuu jina lake la kwanza abdalah hakuwa na uhusiano na kina njoholeHuyu mwinyimkuu njohole alikuwa na uhusiano na deo njohole?
Marehemu selestini sikinde mbunga, Deo Njohole, makumbi Juma, sanifu Lazaro Tingisha, zamoyoni Mogera, Abeid Mziba, Abubakari Salumu (sure boy)
Hawa kina Lunyamila walikuja baada ya kina Sanifu kuondoka
Hii ilikuwa 1992, 1991 walicheza Fainali Simba na SC Villa, Simba akatoka kifua mbele 3-0.It was 1991 Uwanja wa Aman Zanzibar Kombe la Africa Mashariki imefika wakat wa Mikwaju ya Penalt Pambano limechezwa Usiku Penalt ya Mwisho anaenda kupiga Beki wa Yanga David Mwakalebela anapaisha na Simba inatwaa Ubingwa! Aiseee tulijikuta Washabiki wa Simba damu tumefurika Msimbazi kuanzia saa 6 usku mpaka Alfajiri bila ya kutarajia
Kombe la challenge lilichukuliwa kipindi gani?Mimi ni miongoni mwa walioshuhudia mpira ukichezwa kipindi hicho. Ni kweli mpira ulikuwa unapigwa, lakini hakuna tofauti sana na unavyopigwa sasa, ndio maana hata timu yetu ya taifa haikuweza kufanya lolote la maana. Tofauti tu ni kwamba wakati ule watu waliokuwa na vipaji vya asili walikuwa wengi ukilinganisha na sasa. Kinachosababisha tuone mpira ulikuwa mwingi kuliko sasa ni ile asili ya binadamu kupenda vya zamani kuliko vya sasa. Hata kina Gerd Muller, Paul Gaza, John Barnes, Abedi Pele, George Weah na wengine wa nyakati zilizopita wanasifiwa kuliko kina Robert Lewandowski, Yaya Toure.
hawa Wahindi wa Yanga si Yanga asilani - wote ni Simba na historia inathibitisha hilo. wapo Yanga kwa maslahi ya kibiashara tu.Kiukweli miaka hiyo kulikuwa na ushindani mkubwa sana kati ya Matajiri hawa wawil na Simba na Yanga. Sijui ni nini kiliwatoa kwenye Ule Ushindani.
Mechi zao zilikuwa zikitabiria na watabiri akina Majura na mtabiri mwingine nmemsahau katika magazeti ya Mfanyakazi.
Nawakumbuka wachezaji kama akina abedi mziba,fred minziro,hussein marsha, george masatu, mtwa kihwelu,itutu kigi,nonda shaban,said mwamba kizota,fumo felician,danny mhoja,twaha hamidu,zamoyoni na method mogella,salum kabunda ninja, athuman china,idd paz n.k
Miaka hiyo wachezaji walikuwa wanajituma sana. Wanacheza kwa nguvu na akili. Mpira ulikuwa unasakatwa hasa.
Huku azim dewj na abbas gulamali wakitambiana ile mbaya.
Burudani hizi zilikuwa zinaletwa na RTD, kupitia kwa watangazaji wake mahiri akina omary jongo na ahmed jongo.Enzi zakina sanif lazaro 'tingisha' salum kabunda 'ninja'. Watangazaji wa mpira redio Tanzania walikuwa wanajua Sana kunogesha matangazo. Unasikia 'wao bila sisi moja'