Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ahahahahhahaha...... hapo tumefungiwa chumbani..Lia sana
.........
Mligeuka watuhumiwa kwa muda.aloooo.hatar sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahhahaha...... hapo tumefungiwa chumbani..Lia sana
.........
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Najua wale ambao hawajakatwa hawata-comment kwenye huu uzi...[emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu hizi fiksii nini. Teh teh.Mi dingi hakuonyesha mpango wa kunitahiri, nikawa nataniwa na madogo mtaani.
Kuna siku niliamua kuipakaa minyaa, ikavimba balaa.
Dingi akashauriwa na rafiki zake nitahiriwe.
Nilipotahiriwa, wakati bado kidonda kibichi, ikawa inasimama mara kwa mara,na kuvujisha damu, basi solution ilikua ikisimama tu, ni kugonga vile vifundo vya miguu kwa chuma au nyundo, inalala hapohapo.
Nawapenda sana wanaume waliotahiriwa porini(kimila) wanajielewa mno, Yale mafunzo wanapewa kule yanasaidiawale wa kimila kuna msoto usio na maana. Picha linaanza siku mnatahiriwa mnajengewa kabisa geto la mabua na choo chake mbali na nyumba ili msichangamane. Baada ya ile shughuli kufanyika mnafungwa vitenge kiunoni kifua kikiwa wazi, unapita wembe kichwani bonge la upara halafu mnapakwa matope kuanzia kichwani mpk kiunoni na miguuni. Mtu akishapakwa hilo tope ndo hakuna kuoga mpk mwezi uishe ambapo kuoga ni siku ya kumaliza jando. Maisha ya jando sasa kinachoendelea uko ni mnapoamka asubuhi inatakiwa muondoke mkashinde porini kurudi muda wa msosi mchana, huko porini ndo kufundishana maadili wenyewe wanavyosema japo imetawala misemo fln ya kiluga ambayo ni fulu matusi wenyewe wanaita mizimu, ukiulizwa muzimu na huna jibu basi ni stiki zinatembea haijalishi umefundishwa ama laa, baada ya stiki kama huufahamu huo mzimu ndo utapewa jibu. Stiki zenyewe zinachongwa halafu zinawekwa kwenye moto zikiwa za moto ndo mnaulizana ukikosa inatolewa kwenye moto/majivu unachapwa nayo kwa kufuata mishipa ya mikono yaani inapigwa parallel to veins. Kuna mambo mambo mengi sana ya kiboya huwa yanaendelea huko lakini yote lazima utii iwe umeonewa au laa. Tena ile siku ya kwanza mnatahiriwa tayari mnapewa majina/vyeo kulingana na umri pia mnapewa na kiongozi wenu wa kuwapeleka porini, kuwafundisha na kuwafuatia chakula kwamaana kipindi chote hicho haitakiwi kuonana na wanawake, mkipita mtaani basi macho chini kwa mstari huku mkiimbishwa mapambio ya kilugha. Ikitokea mpo porini mmekutana na mwanamke asiyeolewa bado basi inatakiwa awaheshimu kwa kukimbia asipofanya hivyo mnaruhusiwa kumpiga. Ubaya wazee washapitisha hayo yote so hakuna anayepinga wala kubisha yaani kifupi ni kama all kinds of umama hakuna kabisa hata uonewe na kiongozi bado hauna pa kulalamika. Kuna wadau wanatokaga huko wakiwa wamepata alama za viboko mikono yote kama tatoo kumbuka unachapwa kiboko kikiwa cha moto. Kuna ishu ya msosi pia kula ni lazima hakuna kusema nimeshiba mpk kiongozi aridhike tena kuna ujinga mwingine ile msosi unaletwa ugali ukiwa kama mlima hlf kiongozi anachoma katikati mnatakiwa kula mpk lile tundu lifutike na akijisijia kuongeza anaongeza wala hakuna wa kumuuliza
[emoji3] [emoji3] ,polee walikufanyaje mkuu.Sitakuja kuisahau hiyo siku kwa kweli. Walaaniwe wale jamaa.
Enzi za utoto. Kuna siku Niko zangu ndani, Kuna mijitu ikaja kuniita. Ile kwenda nje pasipo kuangalia chini kumbe ilinisimamisha sehemu yenye siafu. Basi bwana Ile Niko zangu home usiku kumbe kuna siafu kapitiliza ikulu. Imagine siafu yuko ndani ya lile lingozi akaanza kung'ata huko. Hapo huwezi kumtoa. Kilio chake kilikuwa balaa. Asubuhi yake ikabidi nikasalimishwe hospitali. Ikabidi nitahiriwe kabisa ili kumtoa yule jamaa siafu huko.[emoji3] [emoji3] ,polee walikufanyaje mkuu.
Aisee huyo siafu hajiheshimu kabisa ,aliingia mpaka ndani duh,pole ila si mbaya bora ulitolewa tu, ila ulishindwaje kumkill humo humo ndani, ungejipiga ngumi tu[emoji3] [emoji3] au ingekua worse zaidi[emoji3] poleeEnzi za utoto. Kuna siku Niko zangu ndani, Kuna mijitu ikaja kuniita. Ile kwenda nje pasipo kuangalia chini kumbe ilinisimamisha sehemu yenye siafu. Basi bwana Ile Niko zangu home usiku kumbe kuna siafu kapitiliza ikulu. Imagine siafu yuko ndani ya lile lingozi akaanza kung'ata huko. Hapo huwezi kumtoa. Kilio chake kilikuwa balaa. Asubuhi yake ikabidi nikasalimishwe hospitali. Ikabidi nitahiriwe kabisa ili kumtoa yule jamaa siafu huko.
Huwa najiulizaga sijui kwa nini nikishindwa kumtoa. Nahisi alikaa mahali pabaya plus utoto nikaishia tu kulia. Ningekuwa nshakuwa na akili zangu timamu ningepambana nae aisee. Thanks, though ishapita miongo kadhaa sasa.Aisee huyo siafu hajiheshimu kabisa ,aliingia mpaka ndani duh,pole ila si mbaya bora ulitolewa tu, ila ulishindwaje kumkill humo humo ndani, ungejipiga ngumi tu[emoji3] [emoji3] au ingekua worse zaidi[emoji3] polee
huu mzigo hauwahusu kabisa.. hvi kuna watu wameoa na wana watoto wakubwa tu ila wana nkono sweta..sijui wake zao wanavumiliaje
Mbona fresh tu[emoji23][emoji23]na mic nashika[emoji125]
Sio Morogoro hii?wale wa kimila kuna msoto usio na maana. Picha linaanza siku mnatahiriwa mnajengewa kabisa geto la mabua na choo chake mbali na nyumba ili msichangamane. Baada ya ile shughuli kufanyika mnafungwa vitenge kiunoni kifua kikiwa wazi, unapita wembe kichwani bonge la upara halafu mnapakwa matope kuanzia kichwani mpk kiunoni na miguuni. Mtu akishapakwa hilo tope ndo hakuna kuoga mpk mwezi uishe ambapo kuoga ni siku ya kumaliza jando. Maisha ya jando sasa kinachoendelea uko ni mnapoamka asubuhi inatakiwa muondoke mkashinde porini kurudi muda wa msosi mchana, huko porini ndo kufundishana maadili wenyewe wanavyosema japo imetawala misemo fln ya kiluga ambayo ni fulu matusi wenyewe wanaita mizimu, ukiulizwa muzimu na huna jibu basi ni stiki zinatembea haijalishi umefundishwa ama laa, baada ya stiki kama huufahamu huo mzimu ndo utapewa jibu. Stiki zenyewe zinachongwa halafu zinawekwa kwenye moto zikiwa za moto ndo mnaulizana ukikosa inatolewa kwenye moto/majivu unachapwa nayo kwa kufuata mishipa ya mikono yaani inapigwa parallel to veins. Kuna mambo mambo mengi sana ya kiboya huwa yanaendelea huko lakini yote lazima utii iwe umeonewa au laa. Tena ile siku ya kwanza mnatahiriwa tayari mnapewa majina/vyeo kulingana na umri pia mnapewa na kiongozi wenu wa kuwapeleka porini, kuwafundisha na kuwafuatia chakula kwamaana kipindi chote hicho haitakiwi kuonana na wanawake, mkipita mtaani basi macho chini kwa mstari huku mkiimbishwa mapambio ya kilugha. Ikitokea mpo porini mmekutana na mwanamke asiyeolewa bado basi inatakiwa awaheshimu kwa kukimbia asipofanya hivyo mnaruhusiwa kumpiga. Ubaya wazee washapitisha hayo yote so hakuna anayepinga wala kubisha yaani kifupi ni kama all kinds of umama hakuna kabisa hata uonewe na kiongozi bado hauna pa kulalamika. Kuna wadau wanatokaga huko wakiwa wamepata alama za viboko mikono yote kama tatoo kumbuka unachapwa kiboko kikiwa cha moto. Kuna ishu ya msosi pia kula ni lazima hakuna kusema nimeshiba mpk kiongozi aridhike tena kuna ujinga mwingine ile msosi unaletwa ugali ukiwa kama mlima hlf kiongozi anachoma katikati mnatakiwa kula mpk lile tundu lifutike na akijisijia kuongeza anaongeza wala hakuna wa kumuuliza
DomSio Morogoro hii?
Hahahahahah!!!!Mi wakat wa shughr mkojo ukabana.. na muambia dkt subir nikakojoe hasikii et mpk amalize kushona...
Aaah nikaurusha asingekua mwepes ange'unywa..
Mkojo ulipaa juu then ukarud kwenye dudu baada ya hapo ile chumvi chumvi ya mkojo ikamalza ganzi yote af hajamalza kushona nilijuta,[emoji28]