Unakumbuka visa vya wamba hawa lodilofa madenge ndumilakuwili cmrd kipepe dr love pimbi zena & betina

Unakumbuka visa vya wamba hawa lodilofa madenge ndumilakuwili cmrd kipepe dr love pimbi zena & betina

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube.

Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni zilizojaa visa na vitimbi vya hao wamba. Mwanzo wa mwaka kama hivi jarida linakuwa tayari limeshatoka na sasa waja mna-enjoy tu mwaka mpya na mambo mapya.

Hapo unakuta Dr love pimbi huyu alikuwa kifupi kama stuli lakini mara zote unakuta harakati zake ni kufukuzia vimwana wasio saizi yake hasa akimfukuzia huyu tandam anaitwa Zena, Zena yeye ni tandam alikuwa na bifu zisizoisha na kimbaumbau Betina na mititi yao isiyoisha kila uchao kiasi cha kushikana mwilini, Betina alikuwa mkorofi na mjuvi wa kutupa ndonga wakikutana ilikuwa lazima Zena akae.

Lodilofa, ni baba mwenye bonge la mkitambi wake akimiliki kigari chake ki-bettle na mara nyingi hupendea kuvaa shati moja kuubwa la vipande vitatu linalomeza kitambi chake chote. Huyu bwana kuna siku kapigwa mkono na trafiki akaambiwa awashe taa za gari yake. Yeye akaishia kumjibu yule trafiki "lete giza"🤣 bila kumsahau madenge akiwa na vitendeakazi vyake rungu na manati yake.

Kulikuwa na mechi kali sana kati ya bush starz wakiongozwa na mshambuliaji wao kipenzi mapung'o wakicheza na wenzao mabon town🤣Hizi mechi zilikuwa na visa vingi sana vya kuchekesha.

Ooh....Time flies!

RIP Maestro John Kaduma na wote waliotutangulia mbele za haki

Screenshot_20250112-093959_Chrome.jpg
Screenshot_20250112-094334_Chrome.jpg
 
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube.

Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni zilizojaa visa na vitimbi vya hao wamba. Mwanzo wa mwaka kama hivi jarida linakuwa tayari limeshatoka na sasa waja mna-enjoy tu mwaka mpya na mambo mapya.

Hapo unakuta Dr love pimbi huyu alikuwa kifupi kama stuli lakini mara zote unakuta harakati zake ni kufukuzia vimwana wasio saizi yake hasa akimfukuzia huyu tandam anaitwa Zena, Zena yeye ni tandam alikuwa na bifu zisizoisha na kimbaumbau Betina na mititi yao isiyoisha kila uchao kiasi cha kushikana mwilini, Betina alikuwa mkorofi na mjuvi wa kutupa ndonga wakikutana ilikuwa lazima Zena akae.

Lodilofa, ni baba mwenye bonge la mkitambi wake akimiliki kigari chake ki-bettle na mara nyingi hupendea kuvaa shati moja kuubwa la vipande vitatu linalomeza kitambi chake chote. Huyu bwana kuna siku kapigwa mkono na trafiki akaambiwa awashe taa za gari yake. Yeye akaishia kumjibu yule trafiki "lete giza"🤣 bila kumsahau madenge akiwa na vitendeakazi vyake rungu na manati yake.

Kulikuwa na mechi kali sana kati ya bush starz wakiongozwa na mshambuliaji wao kipenzi mapung'o wakicheza na wenzao mabon town🤣Hizi mechi zilikuwa na visa vingi sana vya kuchekesha.

Ooh....Time flies!

RIP John Kaduma na wote waliotutangulia mbele za haki
Endelea kuelezea mkuu.
Refa yuko kati lkn ana panga kiunoni.
Daaah! Ilikuwaga burudani sana hasa pale ninapokuwa nimejipumzisha chini muembe huku nikifuatilia hili jarida na wakati huohuo nikifuatilia na mienendo ya ng'ombe ninaowachunga basi ninajikuta jua linazama narudisha ng'ombe nyumbani bila kupatwa na uchovu.
 
Kuna jarida moja lilikuwa na mhusika anaitwa “Mama Myaone” kipindi chake pia kilikuwa kikirushwa RTD kabla ya kuwa TBC Taifa nafikiri.
Jina limenitoka kidogo.
 
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube.

Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni zilizojaa visa na vitimbi vya hao wamba. Mwanzo wa mwaka kama hivi jarida linakuwa tayari limeshatoka na sasa waja mna-enjoy tu mwaka mpya na mambo mapya.

Hapo unakuta Dr love pimbi huyu alikuwa kifupi kama stuli lakini mara zote unakuta harakati zake ni kufukuzia vimwana wasio saizi yake hasa akimfukuzia huyu tandam anaitwa Zena, Zena yeye ni tandam alikuwa na bifu zisizoisha na kimbaumbau Betina na mititi yao isiyoisha kila uchao kiasi cha kushikana mwilini, Betina alikuwa mkorofi na mjuvi wa kutupa ndonga wakikutana ilikuwa lazima Zena akae.

Lodilofa, ni baba mwenye bonge la mkitambi wake akimiliki kigari chake ki-bettle na mara nyingi hupendea kuvaa shati moja kuubwa la vipande vitatu linalomeza kitambi chake chote. Huyu bwana kuna siku kapigwa mkono na trafiki akaambiwa awashe taa za gari yake. Yeye akaishia kumjibu yule trafiki "lete giza"🤣 bila kumsahau madenge akiwa na vitendeakazi vyake rungu na manati yake.

Kulikuwa na mechi kali sana kati ya bush starz wakiongozwa na mshambuliaji wao kipenzi mapung'o wakicheza na wenzao mabon town🤣Hizi mechi zilikuwa na visa vingi sana vya kuchekesha.

Ooh....Time flies!

RIP Maestro John Kaduma na wote waliotutangulia mbele za haki
Kirefu Cha Mwamba ni Miamba sio Wamba.
 
Kuna jarida moja lilikuwa na mhusika anaitwa “Mama Myaone” kipindi chake pia kilikuwa kikirushwa RTD kabla ya kuwa TBC Taifa nafikiri.
Jina limenitoka kidogo.
Hii kulikuwa na kipindi cha kuelimisha kwa mchezo wa kuigiza redio Tanzania mmoja wa wahusika ndiyo huyo mama muyaone. hao km sikosei walikuwa kundi la akina mzee jangala.
 
Lakini gazeti la sun si ndio lilikua na mambo haya? Na ni juzi kati fulani tu hapo, kwa maana ya miaka ya alufu mbili plus...
 
Hii kulikuwa na kipindi cha kuelimisha kwa mchezo wa kuigiza redio Tanzania mmoja wa wahusika ndiyo huyo mama muyaone. hao km sikosei walikuwa kundi la akina mzee jangala.
Ndiyo, kilikuwa kipindi cha kuelimisha (Afya ya uzazi) kama sikosei.
Jina la jarida/kipindi limenitoka.
 
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube.

Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni zilizojaa visa na vitimbi vya hao wamba. Mwanzo wa mwaka kama hivi jarida linakuwa tayari limeshatoka na sasa waja mna-enjoy tu mwaka mpya na mambo mapya.

Hapo unakuta Dr love pimbi huyu alikuwa kifupi kama stuli lakini mara zote unakuta harakati zake ni kufukuzia vimwana wasio saizi yake hasa akimfukuzia huyu tandam anaitwa Zena, Zena yeye ni tandam alikuwa na bifu zisizoisha na kimbaumbau Betina na mititi yao isiyoisha kila uchao kiasi cha kushikana mwilini, Betina alikuwa mkorofi na mjuvi wa kutupa ndonga wakikutana ilikuwa lazima Zena akae.

Lodilofa, ni baba mwenye bonge la mkitambi wake akimiliki kigari chake ki-bettle na mara nyingi hupendea kuvaa shati moja kuubwa la vipande vitatu linalomeza kitambi chake chote. Huyu bwana kuna siku kapigwa mkono na trafiki akaambiwa awashe taa za gari yake. Yeye akaishia kumjibu yule trafiki "lete giza"🤣 bila kumsahau madenge akiwa na vitendeakazi vyake rungu na manati yake.

Kulikuwa na mechi kali sana kati ya bush starz wakiongozwa na mshambuliaji wao kipenzi mapung'o wakicheza na wenzao mabon town🤣Hizi mechi zilikuwa na visa vingi sana vya kuchekesha.

Ooh....Time flies!

RIP Maestro John Kaduma na wote waliotutangulia mbele za haki
Binafsi na viona kama vile vya mwamba tuzamishe,na TL tuokoe tusife maji.
 
Umemsahau kipepe,njomba Nchumali….haha masista zangu walkua wanayanunua! Basi mi naiba naenda kuyasoma school na washkaji! Back in those days!😔
 
Hua nauliza wale wenye yale majalida ya Sani na Bongo walienda wapi, walipotelea wapi, walikua kina nani?
 
Back
Top Bottom