Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Huwa nacheka sana, eti Tanzania hii kuna madaraja ya mabasi ya "luxury", "semi luxury". Yaani ni ushubwada mtupu!! Hivi wanajua maana ya luxury?
Umeona Ile ya kutoka dar to Jorbeg?🙌🤭
Nimeangalia vile viti nikasema 4 days unafika mgongo hauna kazi
Miguu ndo kabisaaa