Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasiokuwa na Seat (wanasimama)

Huwa nacheka sana, eti Tanzania hii kuna madaraja ya mabasi ya "luxury", "semi luxury". Yaani ni ushubwada mtupu!! Hivi wanajua maana ya luxury?
🀣🀣🀣
Umeona Ile ya kutoka dar to Jorbeg?πŸ™ŒπŸ€­
Nimeangalia vile viti nikasema 4 days unafika mgongo hauna kazi
Miguu ndo kabisaaa
 
Kama umeshindwa kulitaja basi hukuwa na haja ya kuchangia,JF tunatumia majina bandia,unaogopa nini kutaja kama sio UMBEA na UNAFIKI??
 
Hao wamasai ni kero hata kwenye daladala
Sina hamu niliwahi tupa viatu na soksi nilivyokua nimevaaπŸ™Œ

Nimekaa, konda kapakia abiria njiani wamasai,akaja kuweka kindoo kati pale kawapanga hao wamasai..
WananukaaπŸ™Œ
Nikaamua kufungua dirisha na kulala...
Baada ya masaa mawili nashtuka najihisi mbichi miguuni ,sa nikawa najiuliza nimeloa na nn?
lahaula,kumbe yule mama alikuwa anatema mate pale chini anatema kwenye miguu yangu...
We mbona nilianzisha fujoo,konda kasimamisha gari, akamhamisha pale ...
Nikavua viatu vyangu na soksi nikavitupa ,uzuri Huwa nasafiri na viatu vya ziada!
Nikamwambia konda nataka maji akanipa ya chupa kubwa ikabidi wanisubiri ninawe miguu
Shenzi sana Hawa watu
 
Njia ya kwenda toilet inafungwa
Wanaosimama wanaegamia siti bus likiyumba unaangukiwa uliyekaa
Wanaegamia siti makalio yakuwa usawa wa kichwa cha abiria aliyekaa unasikia kiharufu kizito kinasambaa puani
Itatuchukua karne kadhaa kuelimika
Ana kunyea upepo[emoji1787][emoji1787]
 
Bus za Abood,New Force,alsaidy hizo zinaongoza kwa kusimamisha abiria .
Basi ambalo lina wafanyakazi wake wanafanya kazi kwa uweledi ni la kampuni ya ABC,jamaa wako vizuri sana kwenye issue ya kuhudumia abiria na hawasimamishi pia huduma ya chakula uwa ni dakika 20 pia abiria ukizidiwa njiani unasikilizwa na kuhudimiwa sio Newforce lenyewe linakimbia tu bila kujali abiria wake kisa liwe la kwanza.
 
Pole sana ndg!
Niliwahi kushuka daladala kwa harufu ya hawa watu.
Hawana ustarabu kabisa.
 
Nilipanda Second class basi La ABC kwenda Mbeya

Ilikua poa sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. Huwa nawahurumia mnoo wanao simama. Uwiiiih
 
Mkuu unavyo sema ni kweri kabisa hata mm hua na kwazika sana,lakini nimehi kua na demu konda nili muuliza hilo swali,akasema hao wanao simama ni posho zao wanajilipa.

Madereva na mafundi,wanao safiri na gari na wale wakaguzi wa njiani na pesa ya trafic ila konda ndiyo ana wagawia wenzake wakipo trafic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…