Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
π€£π€£π€£Huwa nacheka sana, eti Tanzania hii kuna madaraja ya mabasi ya "luxury", "semi luxury". Yaani ni ushubwada mtupu!! Hivi wanajua maana ya luxury?
Wamewadharau sana aisee..hivi unajua njia ya kaskazini hakuna huo upuuzi.! Na ndio njia yenye bus zenye huduma za viwango na hoteli nzuri.Route za kwenda mikoani hasa kuanzia Dar-mbeya, Dar-mwanza Bus nyingi zina haya mambo ya kupakiza abiria inakuwa usumbufu tena
Kama umeshindwa kulitaja basi hukuwa na haja ya kuchangia,JF tunatumia majina bandia,unaogopa nini kutaja kama sio UMBEA na UNAFIKI??VIP kibongo bongo bado sana, ndio tunajifunza tuseme ukweli tu... Labda miaka michache ijayo tutafika
Sasa hivi sio ajabu kukuta gari ni VVIP lakini choo kibovu, AC ya magumashi, mwendo wa dereva ni kanyaga twende babaakee, movie zilezile kila siku za mkojani, Ringo, Nagwa... Customer care mbovu, usalama wa mizigo muda mwingine mdogo kwa hiyo ni vuruguvurugu
Kuna bus (Sitalitaja) nilipanda kwenda mkoani nikajutia kutoa hela yangu kwamba nimepanda VIP.
Sina hamu niliwahi tupa viatu na soksi nilivyokua nimevaaπHao wamasai ni kero hata kwenye daladala
Ana kunyea upepo[emoji1787][emoji1787]Njia ya kwenda toilet inafungwa
Wanaosimama wanaegamia siti bus likiyumba unaangukiwa uliyekaa
Wanaegamia siti makalio yakuwa usawa wa kichwa cha abiria aliyekaa unasikia kiharufu kizito kinasambaa puani
Itatuchukua karne kadhaa kuelimika
Pole sana ndg!Sina hamu niliwahi tupa viatu na soksi nilivyokua nimevaaπ
Nimekaa, konda kapakia abiria njiani wamasai,akaja kuweka kindoo kati pale kawapanga hao wamasai..
Wananukaaπ
Nikaamua kufungua dirisha na kulala...
Baadae ya masaa mawili nashtuka najihisi mbichi miguuni ,sa nikawa najiuliza nimeloa na nn?
lahaula,kumbe yule mama alikuwa anatema mate pale chini anatema kwenye miguu yangu...
We mbona nilianzisha fujoo,konda kasimamisha gari, akamhamisha pale ...
Nikavua viatu vyangu na soksi nikavitupa ,uzuri Huwa nasafiri na viatu vya ziada!
Nikamwambia konda nataka maji akanipa ya chupa kubwa ikabidi wanisubiri ninawe miguu
Shenzi sana Hawa watu
100% rightBasi ambalo lina wafanyakazi wake wanafanya kazi kwa uweledi ni la kampuni ya ABC
SAWAπKama umeshindwa kulitaja basi hukuwa na haja ya kuchangia,JF tunatumia majina bandia,unaogopa nini kutaja kama sio UMBEA na UNAFIKI??
Kwa kweli serikali inabidi iingilie kati ili hawa watu wakionekana mjini tu wakamatwe na kupelekwa maporiniHao wamasai ni kero hata kwenye daladala
Ur missed jmn ulikuwa wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. Huwa nawahurumia mnoo wanao simama. Uwiiiih
Mama mtumishi mie nipo jomoneee, sema majukumu ya kutafuta maokotooo.Ur missed jmn ulikuwa wapiii
Mbona maokotoooMama mtumishi mie nipo jomoneee, sema majukumu ya kutafuta maokotooo.
Mic u mnoo [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] c unajua tumetoka home kuja kutafuta maokotooo.Mbona maokotooo
Sawa dear
Mis uu kwakweli [emoji7][emoji7][emoji7]
Mkuu unavyo sema ni kweri kabisa hata mm hua na kwazika sana,lakini nimehi kua na demu konda nili muuliza hilo swali,akasema hao wanao simama ni posho zao wanajilipa.Unakuta BUS limeandikwa VIP/VVIP lakini likifika mahali linapandisha abiria wasio na siti
Kuanzia Ally stars BUS wanaoisifia , katarama BUS na Bus zingine nyingi hali hii inafanyia abiria wake.
Unakuta umepanda bus kila abiria amekaa katika seat yake ikifika mahali Bus linaruhusu kupakiza abiria wengine wanaanza kusimama pembeni ya seats za abiria wengine wanakaa katika njia za kupita.
Nini maana ya Bus kuipa Hadhi ya VIP/VVIP?
Wamiliki wa Bus suala hili mnalifahamu?
- Ni bus gani haina tabia hizi?