Unakuta sehemu ipo wazi ila Muhudumu anakudai hela kabla ya huduma

Unakuta sehemu ipo wazi ila Muhudumu anakudai hela kabla ya huduma

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kama club Sawa tunaweza kukubali ila sehemu open mtu una akili zako nafika nipate huduma eti kabla sijakula au kunywa nadaiwa hela jamani mbona tunatiwa ubwege sana tunatoana class pasipo la msingi ingelikuwa kweli kuna matukio ya watu kukimbia kulipa au kudai Kwa bunduki kweli tungekubali wasiwasi huo.
 
Wakunyumba unahisi ukilipa kabla ya kula chakula hakinogi ?Ni perception tulizojijengea matabaka ya kati na chini,so ukiambiwa ulipe kwanza unaona kama formula mpya.
 
Mimi nina grocery! Hela mbele kama tai na watu walishazoea! Haya mambo ya kuhudumia vinywaji vigumu kwa bili ni shida! Mtu hana hela ya kutosha akishalewa anajifanya kibosile kuagizia watu "mpe huyo!"

"Msikilize yule" mwisho wa siku kuanza kugombana kunyanganyana simu na viatu! Sasa shida ya nini,? Labda kama wewe ni mteja wangu wa siku nyingi nakufahamu kwako, kukusitiri kwa siku moja sio mbaya!
 
Kama club Sawa tunaweza kukubali ila sehemu open mtu una akili zako nafika nipate huduma eti kabla sijakula au kunywa nadaiwa hela jamani mbona tunatiwa ubwege sana tunatoana class pasipo la msingi ingelikuwa kweli kuna matukio ya watu kukimbia kulipa au kudai Kwa bunduki kweli tungekubali wasiwasi huo.
Wewe utakuwa mgeni wa baa! Siku hizi hiyo kawaida
 
Back
Top Bottom