mibaba ya namna hiyo wakataeni kwa nguvu zotehahahah hii Topic ina ukweli wote kuna baadhi yao hawapendi kuoga basi akipita karibu yako kikwapa kile unaweza kuzimia
[/COLOR]
VC...Mswalie mtume dadaake...!
Usiwalostishe wenzio we mdada!
Unataka wazeekee kwa baba zao?
Hujui warembo wanazaliwa kila siku, na wanakuja na kasi mpya ya KUDANGANYIKA?
Pia hayo masharti yako baadhi mbona ni ya juu sana!
Wewe mwenyewe una qualities gani hadi utake huyo "mr innocent"?
Ohoooooo.....Nyamayao bado uko under-age nini?
Unashangaa kwani kuna kituko hapo...!
Hujasikia ndoa ambazo baba akirudi toka kwenye mijadala ya huko Bar ni lazima familia nzima waamke na kuanza kumsalimia baba, bila kujali ni saa ngapi!... Mnaanza Shikamoo Baba!...kwa foleni na kwa magoti, toka mdogo hadi mkubwa wao, na kisha mama yao??
mibaba ya namna hiyo wakataeni kwa nguvu zote
Im thankful to GOD this will never ever happen!....
nitavaa mkenge kwingine lakini siyo kwenye usafi hata siku moja:
1.My man lazima aoge at least ( kwa uchache) mara mbili kwa siku - asubuhi na usiku kabla ya kulalia my white bedsheets.
2. Atalazimika kutumia white towels.....kuvaa white pants/boxers,vest na kubadili kila anapooga, kutokurudia nguo mara mbili
3. Atakuwa na bathroom- use ettiquet - lift the toilet seat, no spilling, use toilet brush incase u mess up, leave the place clean for the next user.
4. Ni marufuku kuwa na mijidevu - unyoaji ni muhimu na lazima
IT IS POSSIBLE LADIES...KEEP LOOKING UNTIL U FIND ONE OR CHANGE HIM BEFORE YOU TIE THE KNOT LOL!
mkuu wewe ni HE/SHE??
Duuu,huu ni uongo maridhawa!!Niko na wadada/wamama walioolewa hapa ofisini. Wameanzisha thread ya mashambulizi hapa wanasema Wanaume wengi ni kero kwelikweli!.
Eti hawaendi kuoga mpaka waambiwe, au kulazimishwa au kubembelezwa mara mbili tatu au nne, na mkewe ndo atanyanyuka KWENDA BAFUNI.
Eti wasipofanya hivyo mibaba mingi tu inapanda kitandani na kuanza kukuroma bila kuoga!
Duuu,huu ni uongo maridhawa!!
Niko na wadada/wamama walioolewa hapa ofisini. Wameanzisha thread ya mashambulizi hapa wanasema Wanaume wengi ni kero kwelikweli!.
Eti hawaendi kuoga mpaka waambiwe, au kulazimishwa au kubembelezwa mara mbili tatu au nne, na mkewe ndo atanyanyuka KWENDA BAFUNI.
Eti wasipofanya hivyo mibaba mingi tu inapanda kitandani na kuanza kukuroma bila kuoga!
ahahahahaha...PJ...naona una-mrudisha kijana kobe where he belongs...ila ni uhuru wa kutoa maoni yake ndio unatumika....kuwa na subira utajifunza mengi.
[/U]
hahaha kwa style hii inabidi tuwe wanajeshi
Ukweli uko bayana ni almost 70% ya wanaume mpaka wabembelezwe zaidi ya mara mbili tatu ivi ndio waende kukoga wifu asipokuwa makini jamaaaa anaweza kulala bila kukoga jamani esp ile mikoa ya Baridi Arusha na Iringa na huko mbeya na mengineyo tetetete
Tuwe tunaoga tuache uzembe alaaaaah
Niko na wadada/wamama walioolewa hapa ofisini. Wameanzisha thread ya mashambulizi hapa wanasema Wanaume wengi ni kero kwelikweli!.
Eti hawaendi kuoga mpaka waambiwe, au kulazimishwa au kubembelezwa mara mbili tatu au nne, na mkewe ndo atanyanyuka KWENDA BAFUNI.
Eti wasipofanya hivyo mibaba mingi tu inapanda kitandani na kuanza kukuroma bila kuoga!
Jamani, kulazimishana si ndio mapenzi yenyewe hayo? Hivi hamjui kuwa kina baba wengi kupeti petiwa na kubembelezwa ndio raha yenyewe hiyo?
eti...hapa kuna uwalakini wa maneno ya hao kina mama...eti= ni kitu ambacho hawana uhakika nacho saaaana...research haijafanyika ya kutosha...
mibaba mingi tu...hapa napo tujue sampling yao ni kwa wwatu wangapi na pia aina ya hiyo mibaba...kama ni mibaba miwil out of 1 million mibabaz....nadhani namba haitoshi kujustify tabia zetu mibaba ya kutokuoga au usafi wa mwili in general....
Pj naomba pia uwaulize hao kina mama walioolewa...je, mabadiliko ya tabia za usafi wameyaona kabla hawajaolewa au baada ya kuolewa na hao waume zao???...kama ni baada ya kuolewa, je hawaoni kama wao ndio chanzo cha mabadiliko ya tabia za usafi za wapendwa waume zao?
kama ni kabla ya kuolewa je kwanini hawakumkunja samaki angali mbichi mpaka leo wanalallamika kuwa samaki hakunjiki?...au ndicho kilicho wavutia kuingia ndoani na waume zao wa sasa ( then uchafu kwao kilikuwa kigezo cha kumpata mr. right wao)
thanks to Vera city ALIYEAMUA KUWEKA WAZI KIGEZO CHA USAFI IN DETAILS KWA YEYOTE ANAYEHISI KUWA ANAMUHITAJI KUWA MAMA YA BATOTO WAKE.
Kuna wanaume kweli wanalazimishwa kufanya usafi, wavivu wa kuoga, wavivu kuondoa nywele sehemu za siri na makwapani.
Mtu utakuta kwapani ana manywele hadi yanabadilika rangi kuwa brown.
Huwa nikienda gym huko ndio balaa, maana utakuta mwanaume kavaa top zile zinazoacha kwapa wazi...............utakuta mtu ana manywele balaa, kama hanyoi kwapa basi hata chini hanyoi.