unamchukia nani katika hili jukwaa??

unamchukia nani katika hili jukwaa??

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,845
Reaction score
2,024
As a tittle said...ni nani unaemchukia katika hili jukwaa yan ambae hata ukiona comment yake unahis kukerekwa,me binafsi namchukia huyu anajiita [HASHTAG]#Ummesh[/HASHTAG] hata sijui kwann but nmetokea tu kukereka nae.
 
Kumchukia mtu bila sababu ilo nitatizo kubwa sana...angalia usije ukafika mahali ukajichukia mwenyewe !!.


Mie naona labda iwe ni indirect way ya kusema unampenda kamanda !!..maana nyie wanawake banaaa..

I hate you= I love you.

No======yes.
 
As a tittle said...ni nani unaemchukia katika hili jukwaa yan ambae hata ukiona comment yake unahis kukerekwa,me binafsi namchukia huyu anajiita [HASHTAG]#Ummesh[/HASHTAG] hata sijui kwann but nmetokea tu kukereka nae.
Nimewachukia wote mliokula pilau bila hata kusema karibu ya uongo na kweli.Msamaha wenu ntatoa kesho asubuhi.
 
Nimewachukia wote walio wacha moto au majiko ya mkaa - ukweli wamesababisha joto sana siku yaleo !!
 
Aaah,shostiiii unamchukiaje MTU bila kumfahamu na pengine hajakufanyia jambo lolote baya eti??? Mm binafsi humu hakuna nimchukiae, labda tuu changamoto za hapa na pale ambazo zinavumilika na kusahaulika suddenly,. Hahahaa usingo usikufanye hivyo bhanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukachukia watu hovyo hovyo utapata ulcers buureee halafu utatengeneza chuki tuu humu zisizo na msingi wala nn,..

Njoo tufurahi pamoja maeneo acha vichuki chuki,sawa mrembo???

Merry Christmas[emoji307]
 
Mkuu hukwenda kwenye ibada ya mkesha wa Christmas Leo? Umejawa na chuki moyoni mpaka zinamwagika? Fanya Ibada upunguze msongo wa chuki
 
Aaah,shostiiii unamchukiaje MTU bila kumfahamu na pengine hajakufanyia jambo lolote baya eti??? Mm binafsi humu hakuna nimchukiae, labda tuu changamoto za hapa na pale ambazo zinavumilika na kusahaulika suddenly,. Hahahaa usingo usikufanye hivyo bhanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukachukia watu hovyo hovyo utapata ulcers buureee halafu utatengeneza chuki tuu humu zisizo na msingi wala nn,..

Njoo tufurahi pamoja maeneo acha vichuki chuki,sawa mrembo???

Merry Christmas[emoji307]
Mwenyewe nimejishangaa hata cjapata jibu yaan mtu simfahamu ila namchukia tu sijui nn hiki shoga angu ila i hate him
 
Kumchikia mtu ambae hakusababishii vyuma kukaza ni ujinga.
Kumchukia mtu kisa tu mmetofautiana ni ujinga.
 
Back
Top Bottom