Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi askari/mwanajashe anaruhusiwa kuwa na ndevu?
Ok pia ukiwa chef huruhusiwi kuwa na mindevu ndevu, kwahio usishangae sana kuona mtu hana ndevu labda ajira inamalzamisha.jeshi na uaskari ndevu hawaruhusu ila sharubu ni ruhsaa
Ok pia ukiwa chef huruhusiwi kuwa na mindevu ndevu, kwahio usishangae sana kuona mtu hana ndevu labda ajira inamalzamisha.
Nasikia Uwoya hana.Hivi kuna mtu hana vooz?
Nasikia Uwoya hana.
huyu bint anamajibu mazuri sanaHata sijui
Siyo km anatabia za wali nyama..!Kama mtoto kwakweli
hapo umekosea sana mkuu.
tafadhali tengua kauli