Unamchukuliaje mama yako ambaye hataki kukupa ukweli kuhusu baba yako mzazi na kuacha utumie ubini wa mtu mwingine?

Unamchukuliaje mama yako ambaye hataki kukupa ukweli kuhusu baba yako mzazi na kuacha utumie ubini wa mtu mwingine?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Umezaliwa humfahamu baba yako mzazi. Mama yako anakwambia babaako alishakufa. Anakutajia jina ambalo silo unalotumia shuleni. Unaanza kujiita ubin kwa hilo jina.

Baada ya miaka kadhaa,
mama yako anakutambulisha kwa mtu mwingine kuwa ndiye baba yako. Tena yuko hai. Na jina sio lile alilokutajia.

Unaanza kuuliza maswali imekuwaje. Mama yako wala huyo baba hawakupi majibu yanayokuridhisha. Unahisi kuna kitu hakiko sawa.

Baada ya miaka kupita, mama yako anakutajia jina la mtu mwingine tena na kukuonesha picha kuwa huyo ndiye baba yako. Anakupa namba. Unajaribu kupiga hiyo namba haipokelewi. Unaamua kuifuta.

Baadae rafiki wa huyo baba anakwambia kuwa; huyo baba yako hayuko tayari kukukubali. Na anauliza kwanini mama yako hakumwambia mapema. Unaamua kupotezea na kuendelea na maisha yako.

Swali ni je, utamchukuliaje huyo mama yako, Ambaye hayuko tayari kusema chochote kila unapomuuliza?
 
Umezaliwa humfahamu baba yako mzazi. Mama yako anakwambia babaako alishakufa. Anakutajia jina ambalo silo unalotumia shuleni. Unaanza kujiita ubin kwa hilo jina.

Baada ya miaka kadhaa,
mama yako anakutambulisha kwa mtu mwingine kuwa ndiye baba yako. Tena yuko hai. Na jina sio lile alilokutajia.
Unaanza kuuliza maswali imekuwaje. Mama yako wala huyo baba hawakupi majibu yanayokuridhisha. Unahisi kuna kitu hakiko sawa.

Baada ya miaka kupita, mama yako anakutajia jina la mtu mwingine tena na kukuonesha picha kuwa huyo ndiye baba yako. Anakupa namba. Unajaribu kupiga hiyo namba haipokelewi. Unaamua kuifuta.

Baadae rafiki wa huyo baba anakwambia kuwa; huyo baba yako hayuko tayari kukukubali. Na anauliza kwanini mama yako hakumwambia mapema. Unaamua kupotezea na kuendelea na maisha yako.

Swali ni je, utamchukuliaje huyo mama yako, Ambaye hayuko tayari kusema chochote kila unapomuuliza?
Your Mother is a test for you and you’re a test for her. Accept that. Coping with unfaithful mother isn’t easy. She's also a human, flawed & weak just like everyone. You need to accept her for she is. You can’t change her. The only person you can change is yourself.‬
 
Mkuu hawa Mama zetu wa Kiafrika ni wa kuchukulia kama walivyo kwa sababu nao ni binadamu. Nilishawahi kuandika humu mkasa wangu.
Why dooes she need to accept her mother as what she is. I mean she should make peace with it. Accepting is another thing. She should not let her past or her mother define her. She is a person witn her own future and decision, wanasema hakuna yatima mkubwa, the same hakuna utegemezi wa mama tena hapo au baba. She need to find herself, and find her way. .
 
Why dooes she need to accept her mother as what she is. I mean she should make peace with it. Accepting is another thing. She should not let her past or her mother define her. She is a person witn her own future and decision, wanasema hakuna yatima mkubwa, the same hakuna utegemezi wa mama tena hapo au baba. She need to find herself, and find her way. .
Duu hii UK mbona umeleta umu
 
Why dooes she need to accept her mother as what she is. I mean she should make peace with it. Accepting is another thing. She should not let her past or her mother define her. She is a person witn her own future and decision, wanasema hakuna yatima mkubwa, the same hakuna utegemezi wa mama tena hapo au baba. She need to find herself, and find her way. .
Huyu ni mtoto wa kike sio Mwanaume kama wewe aisee.
 
ukiona mtu kaleta jambo ujue linamhusu CHA MSINGI ATAFUTE HELA AONE HUYO BABA ATAPIGA MAGOTI
Hela kama bei gani hivi?
After all hapa suala sio kupigiwa magoti bali ni kupata tu ufafanuzi. Wanawake wengi kwasababu ya maumivu ya kile walichotendewa huamua kuwaficha qatoto wao kuhusu baba zao.

Jambo linalokuja kuwaathiri zaidi watoto kihisia
 
Hela kama bei gani hivi?
After all hapa suala sio kupigiwa magoti bali ni kupata tu ufafanuzi. Wanawake wengi kwasababu ya maumivu ya kile walichotendewa huamua kuwaficha qatoto wao kuhusu baba zao.

Jambo linalokuja kuwaathiri zaidi watoto kihisia
Vp ikiwa maumivu yalisababishwa na mama na sio baba
Kuna Siri nzito Sana Hapo nenda polepole
 
Hela kama bei gani hivi?
After all hapa suala sio kupigiwa magoti bali ni kupata tu ufafanuzi. Wanawake wengi kwasababu ya maumivu ya kile walichotendewa huamua kuwaficha qatoto wao kuhusu baba zao.

Jambo linalokuja kuwaathiri zaidi watoto kihisia
Pole sana rafiki, najua inaumiza sana moyo, kama Unajitosheleza kwa mahitaji yako muhimu basi hilo linatosha.

Mama yako naye ni binadamu na hakuna binadamu mwenye utimilifu. Kama unaishi naye ishi naye na wewe inaonekana una roho ya huruma.

Usibadirike kwa sababu ya mapicha unayoyaona kutoka kwa Mama yako.
Ishi maisha yako tu. Usijifunze tabia ambazo hauna hasa ulevi, starehe kupitiliza. Endelea kuboresha utu wako tu. Mambo mengine yatapita na wewe utakuwa mtu bora na mwenye mafanikio kimaisha na kiimani pia.
 
Oya Manyanza kuna story mdau alileta alitembea na mdada wa kinywarwanda ambae ni ndugu yake, hii story naipata wapi

Help
 
Umezaliwa humfahamu baba yako mzazi. Mama yako anakwambia babaako alishakufa. Anakutajia jina ambalo silo unalotumia shuleni. Unaanza kujiita ubin kwa hilo jina.

Baada ya miaka kadhaa,
mama yako anakutambulisha kwa mtu mwingine kuwa ndiye baba yako. Tena yuko hai. Na jina sio lile alilokutajia.
Unaanza kuuliza maswali imekuwaje. Mama yako wala huyo baba hawakupi majibu yanayokuridhisha. Unahisi kuna kitu hakiko sawa.

Baada ya miaka kupita, mama yako anakutajia jina la mtu mwingine tena na kukuonesha picha kuwa huyo ndiye baba yako. Anakupa namba. Unajaribu kupiga hiyo namba haipokelewi. Unaamua kuifuta.

Baadae rafiki wa huyo baba anakwambia kuwa; huyo baba yako hayuko tayari kukukubali. Na anauliza kwanini mama yako hakumwambia mapema. Unaamua kupotezea na kuendelea na maisha yako.

Swali ni je, utamchukuliaje huyo mama yako, Ambaye hayuko tayari kusema chochote kila unapomuuliza?

Mara nyingine kueleza in details inakuwa ngumu. Labda mama alimpenda huyo baba. Baba akazingua. Wewe ni innocent product ya mapenzi ya mama na maamuzi ya baba.
Sasa Mama atafanyaje? Kama umekua, anajua utataka kumuona baba. Sasa mababa wengine wanajua kukojolea tu. matokea ya kukojoa hayawahusu.
Muonee huruma mama yako amekulea kama alivyoweza na umejitambua. Kuna mambo sio wewe wala mama yako wanaweza kuyapatia ufumbuzi wa haraka haraka.
Maisha yetu chini ya jua, yanatulazimisha kujifunza kuwa wanyenyekevu na kujishusha kuliko kujikweza. Utanishukuru. Ipo siku baba atakupigia magoti, sio sababu umemzidi umri, ila kwa heshima ya mama yako kukulea na kuweza kujitambua.
Waswahili wanasema kulea mimba sio kazi.....kazi ni kulea mwana. Relax. Enjoy. Produce and Reproduce. But responsibly.
 
Umezaliwa humfahamu baba yako mzazi. Mama yako anakwambia babaako alishakufa. Anakutajia jina ambalo silo unalotumia shuleni. Unaanza kujiita ubin kwa hilo jina.

Baada ya miaka kadhaa,
mama yako anakutambulisha kwa mtu mwingine kuwa ndiye baba yako. Tena yuko hai. Na jina sio lile alilokutajia.
Unaanza kuuliza maswali imekuwaje. Mama yako wala huyo baba hawakupi majibu yanayokuridhisha. Unahisi kuna kitu hakiko sawa.

Baada ya miaka kupita, mama yako anakutajia jina la mtu mwingine tena na kukuonesha picha kuwa huyo ndiye baba yako. Anakupa namba. Unajaribu kupiga hiyo namba haipokelewi. Unaamua kuifuta.

Baadae rafiki wa huyo baba anakwambia kuwa; huyo baba yako hayuko tayari kukukubali. Na anauliza kwanini mama yako hakumwambia mapema. Unaamua kupotezea na kuendelea na maisha yako.

Swali ni je, utamchukuliaje huyo mama yako, Ambaye hayuko tayari kusema chochote kila unapomuuliza?
Pole Kwa yalio kukuta, tulia endelea na kazi zako huyo mama yako anamatatizo songambele
 
Back
Top Bottom