Unamchukuliaje mpenzi wako ambaye anakujibu "shida yangu haikuhusu"

Unamchukuliaje mpenzi wako ambaye anakujibu "shida yangu haikuhusu"

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Nawasalimu wana Jambi. Natumai mu wazima.

Aiiisee! Nimekaa hapa kuna jambo kidogo limenipandisha hasira. Iko hivi , nimempigia manzi kwa kutegemea muda huu atakuwa home . lakini katika kumuuliza akaniambia ametoka kidogo . Ikabidi nimuulize , umeenda kufanya nini huko ulipoenda . Akanijibu kuna shida imenileta Ila haikuhusu na sitaki uijue.

Daaaahh kiukweli imeniuma , nimeona kama labda jambo flani baya hivi.

Kwa upande wako unamchukuliaje mtu wa namna hasa akiwa ni mpenzi wako?
 
Mimi huku simu tangu juzi simu ilkuwa haipokelewi leo asubuhi ndo nimeambiwa samahani ilkuwa chaji,
Kimoyomoyo nimejisemea kwamba ananitania lakini bado ananipenda

hata wew huenda anakutania tu usipanik si unajua utani nao kipaji
 
Mimi huku simu tangu juzi simu ilkuwa haipokelewi leo asubuhi ndo nimeambiwa samahani ilkuwa chaji,
Kimoyomoyo nimejisemea kwamba ananitania lakini bado ananipenda

hata wew huenda anakutania tu usipanik si unajua utani nao kipaji
Haha!
 
Ukiendeleaa kujichanganya unapigwaa mzee shtuka
 
Usimchukulie serious sana, chapa mbususu then muweke kando, ya nini kuteseka?
 
kuna bwana ake anamsumbua hamuelewi
 
Back
Top Bottom