Unamchukuliaje mwanamke anayevaa wigi?

Unamchukuliaje mwanamke anayevaa wigi?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari.

Binafsi mdada akivaa wigi namshusha viwango. Sometimes nafika mbali, namuona kama mtu asiyejiamini, asiyejielewa na mwenye tatizo.
Vitu artificial viko vingi ila kwa mawigi hapo mmezidi.
 
Hajiamini na ni mchafu...

Na mkorogo, makucha ya dukani nayo hivyo hivyo....
Juzi nilienda guest house na mchepuko, nimemkuta na mikucha imechomoza kama zimwi, stimu zikakata.
Hivi ni nani aliyewaambia kuwa sisi wanaume tunapenda mavitu bandia?
 
Wengi Wana ukimwi so unanyonyoka nywele solution hapo Ni wigi....
Ila good news pisi yangu kitu natural Ni Basi nashindwa ku wawekeA picha yake hapa
 
Weka mkuu
Haya kaa kwa password tulia
IMG_20210711_173850.jpg
 
Back
Top Bottom