Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Juzi nilienda guest house na mchepuko, nimemkuta na mikucha imechomoza kama zimwi, stimu zikakata.Hajiamini na ni mchafu...
Na mkorogo, makucha ya dukani nayo hivyo hivyo....
Hivi ni nani aliyewaambia kuwa sisi wanaume tunapenda mavitu bandia?
Wigi ndio nin mkuu na linavaliwa wapi
Siunajua sie wa kutoka shamba bado tupo dunia ya tatu
Weka mkuuWengi Wana ukimwi so unanyonyoka nywele solution hapo Ni wigi....
Ila good news pisi yangu kitu natural Ni Basi nashindwa ku wawekeA picha yake hapa
Mkuu hii comment fupi sana sijakuzoea hebu sema neno katika hili mtoa mada ni mtu mzito sanaaa ndegejohnNone of my business.
Haya kaa kwa password tuliaWeka mkuu
Mkuu hii comment fupi sana sijakuzoea hebu sema neno katika hili mtoa mada ni mtu mzito sanaaa ndegejohn
Huyu mbona namfahamu vizuri, niruhusu niandike jina lake na mahali alipoHaya kaa kwa password tuliaView attachment 1852190
Hamna kitu km hicho Hili file huwez ku unlock hii code nzitoHuyu mbona namfahamu vizuri, niruhusu niandike jina lake na mahali alipo
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mkuu tunawatu nakwambia kaa kwa kutulia jina tunalo na locationHamna kitu km hicho Hili file huwez ku unlock hii code nzito
MshambaHabari!
Binafsi mdada akivaa wigi namshusha viwango.
Sometimes nafika mbali, namuona kama mtu asiyejiamini, asiyejielewa na mwenye tatizo.
Vitu artificial viko vingi ila kwa mawigi hapo mmezidi.