Unamfahamu mbwa mshenzi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Huyu mbwa maarufu kama Basenji(Mshenzi) ni mbwa mwenye asili ya africa ya kati. Wazungu walipomuona kwa mara ya kwanza walisema ni mbwa wa wenyeji na wenyeji waliitwa washenzi ni mbwa ambaye habweki, anatoa tu sauti tofauti. nyingine ni ile analia kama king'ora usiku. wabongo wanasema huwa analia vile sababu ya kuona wachawi (waamini uchawi wapumbavu sana).

Utamtambua Basenji kwa masikio yalichongoka, mkia uliojikunja kama wa mbuzi na kutobweka. Mbwa safi sana.





 
Kwahiyo huyo mbwa wa washenzi/wenyeji anazidiwa mpaka na mandonga kubweka
 
Hao ni wazuri kwa uwindaji na uchungaji mifugo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…