Unamfanyia nini rafiki ,anayekujaza upigwe Kama yeye alivyopigwa na wahuni

Hawa watu wa network marketing wanazingua sana na maisha yao ya kuigiza

Eti 'Nina nyumba na gari' [emoji2][emoji2]

Mimi Kuna jamaa Hawa wa AIM GLOBAL alinifuata akaanza kunionehsa zile dawa zao wenyewe wanaita supplements sijui

Sasa Mimi nikawaza ,Sina hata Taaluma ya inayohusiana na udaktari nichukue hiyo midawa yenu nikauzie watu ili iweje

Alafu nikamuulize siku hizi Biashara matangazo ,Kama Ni kweli hizo dawa zenu zinatibu kisukari na magonjwa mengne fanyeni advertisement kwenye media tofauti.

Mpaka na leo yule mchizi hajanitafuta tena

Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
 
Hao wanaitwa I'm global lakini tano kuingia wanapenda sana kwenda vyuoni kulamba madogo boom ukijikuta na tamaa zako za pesa imekula kwako hao kiingilio ni 520000

Kuna superlife wao kuanzia hata laki tatu hawa watu wa haya makampuni wanapenda sana kuvaa suti

Kipind npo chuo nimeudhuria mikutano yao naalikwa na mdau najua kuna kitu cha maana na mshakaj akikualiki akwambii ni nini anasema twende tu utaona fursa kubwa Si ya kukosa kumbe ungese naaga naenda toilet nasepa


Yaani nitoe laki tano bado ni convince wengine wawili watoe huo ni uboya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…