Unamjua Daz Nunda yule wa ngoma ya "Umbo namba 8"

Unamjua Daz Nunda yule wa ngoma ya "Umbo namba 8"

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Siku zinaenda

DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu

DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k

Moja kati ya nyimbo zake mahiri ni wimbo wa 'UMBO NAMBA 8' aliomshirikisha 'NGOSHA ZE DON' FID Q. Pia kuna wimbo wa 'WIFE' alimshirikisha 'MWANA CHEMBER' ALBERT MANGWEAR (CowBama/ Mtoto wa Jakaya)

Baada ya miaka mingi kupita na umri kusonga mbele, DAZ BABA wa sasa huyu hapa 👇

FB_IMG_17199405530750746.jpg
 
Siku zinaenda

DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu

DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k

Moja kati ya nyimbo zake mahiri ni wimbo wa 'UMBO NAMBA 8' aliomshirikisha 'NGOSHA ZE DON' FID Q. Pia kuna wimbo wa 'WIFE' alimshirikisha 'MWANA CHEMBER' ALBERT MANGWEAR (CowBama/ Mtoto wa Jakaya)

Baada ya miaka mingi kupita na umri kusonga mbele, DAZ BABA wa sasa huyu'apa 👇View attachment 3031857
Pesa alizopata akiwa na umri mdogo zimeharibu muonekano wake.
Naona bado yupo under 50 lakini keshazeeka.
 
Daz baba alikuwa teja kitambo! Bora ule bangi ngada haikuchi salama!
Shida wengi wakishazoea mmea wanaona hauna stimu unakuta wanatafuta kitu kikali zaidi,,,,,,,,kuna mzee flani pande za temeke anasema vijana walikua wanakula madawa ili mizuka ipande wakawasugue zaidi madem,,,unakuta mtu alikua akila jani lake anampelekea Joyce moto mwanzo mwisho, baadae jani anaona halimpi stimu tena shoo zinaanza kua za kizembe baadae anamuuliza pusha wake imekuaje, jamaa anamuanzishia dozi kidogo anamchanganyia jani na unga anamwambia jaribu hii, akipiga anaona mzuka umerudi kama wote anaona hapa ndo penyewe, hapo taratibu ameshaanza kutumia unga,kutoka huko sasa ni mbinde kuliko jani........
 
Siku zinaenda

DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu

DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k

Moja kati ya nyimbo zake mahiri ni wimbo wa 'UMBO NAMBA 8' aliomshirikisha 'NGOSHA ZE DON' FID Q. Pia kuna wimbo wa 'WIFE' alimshirikisha 'MWANA CHEMBER' ALBERT MANGWEAR (CowBama/ Mtoto wa Jakaya)

Baada ya miaka mingi kupita na umri kusonga mbele, DAZ BABA wa sasa huyu hapa 👇

View attachment 3031857
Ulitaka kusemaje mkuu?
 
Back
Top Bottom