Unamjua Daz Nunda yule wa ngoma ya "Umbo namba 8"

Unamjua Daz Nunda yule wa ngoma ya "Umbo namba 8"

Shida wengi wakishazoea mmea wanaona hauna stimu unakuta wanatafuta kitu kikali zaidi,,,,,,,,kuna mzee flani pande za temeke anasema vijana walikua wanakula madawa ili mizuka ipande wakawasugue zaidi madem,,,unakuta mtu alikua akila jani lake anampelekea Joyce moto mwanzo mwisho, baadae jani anaona halimpi stimu tena shoo zinaanza kua za kizembe baadae anamuuliza pusha wake imekuaje, jamaa anamuanzishia dozi kidogo anamchanganyia jani na unga anamwambia jaribu hii, akipiga anaona mzuka umerudi kama wote anaona hapa ndo penyewe, hapo taratibu ameshaanza kutumia unga,kutoka huko sasa ni mbinde kuliko jani........
hii ishu ni very serious hapa bongo hata nyakati hizi, hawa vijana tulionao (hasa wana michezo na wasanii) wanaelekea huko huko!

bahati mbaya kwa sasa wameongoza na mambo ya upinde, vijana wanapigwa pipe kisa umaarufu na pesa, watakapofika 40+ tutakimbiana!,

bahati mbaya upande wa michezo naona hata wadau bado hawajaamua kuwasaudia vijana namna bora ya kuishi na kutengeneza future!
 
Shida wengi wakishazoea mmea wanaona hauna stimu unakuta wanatafuta kitu kikali zaidi,,,,,,,,kuna mzee flani pande za temeke anasema vijana walikua wanakula madawa ili mizuka ipande wakawasugue zaidi madem,,,unakuta mtu alikua akila jani lake anampelekea Joyce moto mwanzo mwisho, baadae jani anaona halimpi stimu tena shoo zinaanza kua za kizembe baadae anamuuliza pusha wake imekuaje, jamaa anamuanzishia dozi kidogo anamchanganyia jani na unga anamwambia jaribu hii, akipiga anaona mzuka umerudi kama wote anaona hapa ndo penyewe, hapo taratibu ameshaanza kutumia unga,kutoka huko sasa ni mbinde kuliko jani........

For sure, ngada noma sana Daz nundaz iyo kitambo sana i hope ferooz yupo okay
 
Kuna watu kazi yao kupondaponda watu wakati wao wenyewe bado wako safarini

Naona sugu kawapa shavu litafanyika alliance france pale
Sasa sijui kama show yao imefanyika au bado

Ova

Hahaa sure mkuu.

Bado haijafanyika naona mpaka 19-July-2024.
 
Siku zinaenda

DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu

DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k

Moja kati ya nyimbo zake mahiri ni wimbo wa 'UMBO NAMBA 8' aliomshirikisha 'NGOSHA ZE DON' FID Q. Pia kuna wimbo wa 'WIFE' alimshirikisha 'MWANA CHEMBER' ALBERT MANGWEAR (CowBama/ Mtoto wa Jakaya)

Baada ya miaka mingi kupita na umri kusonga mbele, DAZ BABA wa sasa huyu hapa 👇

View attachment 3031857
Hujaitaja Nipe Tano. Wakati huo walikuwa wakimwita 'Daz Mzazi'.

Ova
 
Siku zinaenda

DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu

DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ iliyokuwa na wanaMuziki kama FEROOZ MRISHO (Feruzi), LaRHUMBA, SAJO a.k.a MENTALI n.k

Moja kati ya nyimbo zake mahiri ni wimbo wa 'UMBO NAMBA 8' aliomshirikisha 'NGOSHA ZE DON' FID Q. Pia kuna wimbo wa 'WIFE' alimshirikisha 'MWANA CHEMBER' ALBERT MANGWEAR (CowBama/ Mtoto wa Jakaya)

Baada ya miaka mingi kupita na umri kusonga mbele, DAZ BABA wa sasa huyu hapa 👇

View attachment 3031857
Kwa hiyo?
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Back
Top Bottom