Unamjua Mtanzania aliyewahi kuchezea Borussia Dortimund

Unamjua Mtanzania aliyewahi kuchezea Borussia Dortimund

Kassim Manara nlimwona wakati huo sijaanza hata darasa la kwanza sikumbuki mwaka ilikuwa ni Pan na Vita ya Zaire sasa Congo DRC.Nawakumbuka Lofombo,Mayanga na Lobilo ilikuwa bonge la mechi siwezi kusahau Pan Afrika walikuwa wakicheza mechi zao zote Jijini Arusha enzi hizo.
LAZIMA UTAKUA UMELAZA KALENDA NYINGI
 
Yaah!abeid mziba (tekelo)hagusi hapo yeye alicheza na kina minziro yusuph bana kina mwalusako huyo kassim waqt wake wa pan ndio hao kina tenga kassim matitu Ibrahim kiswabi.
DAH UMENIKUMBUSHA MUSSA HASSAN MGOSI
 
Kitwana Manara(poppat)
Sunday Manara(computer)
Kassim Manara

Mara ya mwisho 1999 nilisikia na toka kwa rafiki yangu ,anayeishi Ujerumani kwamba Kassim Manara alikuwa Nchini Austria , hali mbaya anapiga maji si mchezo.
 
Back
Top Bottom