kiyusa mwenge
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 113
- 66
Ok sisi waislam wabaya kwa kila kituKwa hiyo waislamu MTU yyt akiwa muislamu akiua watu wasio na hatia kwenu in shujaa?
Mkuu, ungeweka na wewe ya kwako kama alivyo fanya mkuu Motochini hapo ju!Ungefanya utafiti kidogo upate ukweli halisi sio huo wa Eurocentric, kama Mzee the bold anavyofanya sio hzo stories zako za vijiweni, poor....
Kua muumini wa mwarabu ni sawa tu na kujiunga na chama cha Lumumba, wote hawatakiwi kutumia akili zao, ni kukariri kwa kwenda mbele tu. Hvi mtu aliyezaliwa miaka 70 kurudi nyuma anaweza kumtetea Amini kwa jambo zuri kweli?Hayo yote yaliandikwa na nyerere kwa sababu za udini wala sio kweli kwani alikuwa kipenzi cha watu mpaka basi maana wananchi walimuweka IDD baada ya kuona mtafutaji wa Uhuru wako bwana Obote kushindwa nchi
mkuu unatulisha matango nyika hao walipigana dhidi ya Mjeruman vita gani na wapiField Msrshal Idi Amina na majeshi yake walipigwa vibaya na kushindwa, hadi Idi Amin kukimbia nchi mwaka 1979.
Kipigo kiliongozwa na General David Musuguri, kamanda wa JWTZ, aliyepigana pomoja na Idi Amin (dhidi ya Wajerumani) wakiwa wote chini ya jeshi la wa kikoloni la Kings African Rifles(KAR~ kutamkwa Keya na watu wa kawaida).
Inasemekana walikuwa wote kambi kuu ya Tabora Barracks.
Hivyo basi vita ya Uganda ilikuwa baina ya askari waliopigana upande mmoja dhidi ya Wajerumani hadi mwaka 1945.
Nyie vijana mliosoma na Kayumba mna very very poor historical knowledge background.mkuu unatulisha matango nyika hao walipigana dhidi ya Mjeruman vita gani na wapi
Una uhakika gani kua aliua bila hatia??Kwa hiyo waislamu MTU yyt akiwa muislamu akiua watu wasio na hatia kwenu in shujaa?
Kwa hiyo unatakaje labda.saudi arabia wana jifanya dini ya uislamu kuwa wanajua lakini kupokea maovu ndo wanaongoza kwa kutumia kivuli cha dini s.w.a mtume muhamadi
Tanzania hapajawahi kutokea mapinduzi ya kijeshi.Namba 2 inafanana na makosa ambayo watanzania tuliyafanya 2015.
Sasa kipi kinashindikana?Hiyo namba 10 si kweli kuwa hawakuruhusiwa kuandika historia yake. Ki ukweli ni kwamba historia yake ya utotoni ina ukakasi. Kwanza hata tarehe aliyozaliwa haifahamiki. Pili hajawai ingia shule au hajawai soma shule yoyote kiasi cha kuacha kumbukumbu ya historia. Mama yake na baba yake inasemekana walikuwa ni wasudani. Ila kwa idi toka alipokuwa mpiganaji wa ndindi alijikita kujifunza luganda na kuswahili vitu ndio maana anainekana muganda. Historia yake ya kiutawala imeandikwa zaidi katika kitabu kiitwacho the eight years of tension. Uganda
upuuzi sana kwani adui wako ndiye adui wa mwenzio. ujinga ni kuamini kuwa adui wako ni wa wotesaudi arabia wana jifanya dini ya uislamu kuwa wanajua lakini kupokea maovu ndo wanaongoza kwa kutumia kivuli cha dini s.w.a mtume muhamadi