Unamkumbuka aliyekutoa Bikra: Ukikutana naye utampa zawadi? Mumeo ulimuadithia?

Mtumishi mwenzangu wa nilimpostia ujumbe, loh Kaka una umbea umemzidi hata mama teri wa ITV,

Acha kutufanya watoto humu, halafu unajua id yako si ya kitoto humu?
...kuna member mmoja humu alikuwa analeta nyuzi za namna hii! Leo mwanamke kesho mwanaume... anajulikana nadhani sexer!
Au hii id yako ni replica ya huyo sexer..!?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bariadi eeeh!?

Sima, Kidinda, Ibulyu, Isanga, Majahida, Lugulu, Mahaha, Bumela, Sanungu, Somanda, Gidulya, Dutwa, Mbiti, Ngulyati, Nyaumata, Old Maswa, Ng'wakibuga, Igaganulwa, Nyakabindi, Sapiwi, Nkololo, Ng'wamungesha, Malambo, Matongo....Bariadi wapi? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbona hata kwenye profile yake inasomeka ni +ke?
 
huyu wa mji wa zamani, bila shaka kama sio ngashanda..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni muongo!
HAKUNA mwanamke anayefurahia siku ya kwanza!!
 
Kumbe unatokea Bariadi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo umeamua kumuanika ALPHONCE hivi kweli dah
 
5 days shuba miti
 
Mkuu Freyzen
Kazi Kubwa Ya Thread Aliyoifanya Mleta Mada Umekwenda Kuionyesha Dare To Talk Open

Haa πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
Jaji Hoi
 
Inategemea kama shoo ilikua shoo sawa..ila kama ya kitoto unasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…